Kijiji chote kimesombwa na Mafuriko, Kanisa limebaki

Nimesikia mahali Wazee wa Hanang wanadai Hilo janga limeletwa na hasira za mizimu kwa watu kutotambika eneo lile. Kwa muktadha wa habari hii Bila shaka ndio maana kanisa limeshindikana.
Mkuu kuna waumini wanatambika mpaka ndani ya majengo ya kanisa. Hao vipi?

Tujifunze kutofautisha kati ya jengo la kanisa na Kanisa. Ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Hiyo ni Kimatereals
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…