Kikao cha dharula; Wanaume wenzangu hebu njooni kidogo tusemezane kidogo

Kikao cha dharula; Wanaume wenzangu hebu njooni kidogo tusemezane kidogo

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Habari za muda huu wazee wenzangu.

Poleni na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku.

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nyakati hizi kumekuwa na malalamiko na manung'uniko sana kwenye vyumba vya wapendanao........

Malalamiko mengine ni ya gubu la kike lakini mengine ni ya msingi na yanatakiwa kuangaliwa kwa jicho la tatu.

Kumekuwa na masononeko ya baadhi ya wakina Baba kushindwa kuwajibika kukifanya kile kilichofanya aende akatoe mahari na kumleta ndani mtoto wa watu.

Msingi wa mada hii Wanaume wenzangu ni kuangalia namna ya kutatua changamoto hii ili mk maisha yarudi kama zamani

Wengi wa walalamikaji wanalalamikia mabadiliko ya miili ya waume zao. Yawezekana yakawa yapo mengi yenye kusababisha hayo.......lakini mimi binafsi nashauri tuzingatia sana mazoezi ya viungo ili kuwa na mwili imara kama Simba kwa ajili ya majukumu yako ya usiku na mchana kwa dharula.

Nakaribisha mjadala ili kila mdau atoe maoni yake ya kiutatuzi, wanaume hatutupani........

Karibuni wapendwa.
 
Mdada kama huyu utamfanyaje sasa kama ndo ushatoa mahali
FB_IMG_17134717789044394.jpg
 
Mwanaume ukiona huwezi kurudia tendo ndani ya dkk 15, ujue umefika point of no return.
 
Mimi siku zote nilijuaga wanaume ni viumbe strong na powerful, ambao hawatetereshwi na chochote (hii ni kwa mujibu wenu wenyewe), sasa ninapoona na kusikia malalamiko ya wanaume siku hizi yamekuwa mengi huwa nakosa majibu
 
Njooni PM niwauzie vumbi la Congo ili hata kicho kimoja kimtoe jasho mamiloo
Sasa si utakuwa kama unatumia ARV Tu unaishi kwa matumaini siku ukikosa ndio basi tena.........

Kikao hichi kinataka suluhisho la kudumu
 
Tatizo ni wao Wawekeze kwenye kujiongezea ladha hawana ladha kabisa inafika hatua unaachana nae unaenda kupiga jerkoff
Unataka kuniambia chakula hakina ladha hivyo hakimvutii mlaji.......??
 
Mda unafanya mazoezi usisahau kuzingatia na vitu unavyo kula.
Kuna mda wanalalamika gear no 2 haiingi kumbe wao ndio chanzo kwa kutulisha vyakula visivyo tupa nguvu
 
Back
Top Bottom