Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Maisha ya mwanadamu yamejaa dhiki na tabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wenzetu wanatuua sana na mapishi......unakuta mchuzi unashinda na mafuta vyote vinaelea.......Mda unafanya mazoezi usisahau kuzingatia na vitu unavyo kula.
Kuna mda wanalalamika gear no 2 haiingi kumbe wao ndio chanzo kwa kutulisha vyakula visivyo tupa nguvu
Hahaa😅 kumbeeHizo ndom zimetumika kwenye mabao mawili tuu, naskia hizo sio imara hua zinatabia ya kupasuka
Alisikika huyo mdada hapo kwenye picha.
Na kibaya zaidi limefanywa kuwa fursa na wafanyabiashara matapeli......Hili suala ni kweli kabisa mkuu tena tusipo angalia daah so sad aiseeee...
Sijui tufanyeje sasa
Hakunaga suluhisho la kudumu la hiyo ishu, hakuna cha mazoezi wala kuzingatia ulaji hayo yanatibu kwa kiwango kidogo sana labla 5% tuu.Sasa si utakuwa kama unatumia ARV Tu unaishi kwa matumaini siku ukikosa ndio basi tena.........
Kikao hichi kinataka suluhisho la kudumu
Hii kauli yako itakusababishia matatizo kijana.......utaachwaje wakati mtoto wa watu ana hamu na wewe ndio ndimu mkata shomboWatuache tuu, maisha yetu yenyewe yanataka tuyakojoze afu bado na wao tena.
8 hivyo mzee🤣😂😂Viwili tuu jamaa yuko hoi 😂
Hahaha hakuna namna wakati mwingineMdau...... mbona umetumia silaha ya kivita kwenye mgogoro wa kifamilia
Bao mbili tuu jamaa chali, binti ameamua kufikisha ujumbe kuwa mzee baba hajiweziHahaa😅 kumbee
Nikajua mwanetu kapiga bao 6 ila demu hajaridhika anataka bao nyingine 2 ndio aondoke magetoni
Sasa mkuu unazani ni life style yetu vijana wa sasa au kuna lingine la ziadaNa kibaya zaidi limefanywa kuwa fursa na wafanyabiashara matapeli......
Jadda Leo pumzika rafiki yangu 😁Mimi siku zote nilijuaga wanaume ni viumbe strong na powerful, ambao hawatetereshwi na chochote (hii ni kwa mujibu wenu wenyewe), sasa ninapoona na kusikia malalamiko ya wanaume siku hizi yamekuwa mengi huwa nakosa majibu
Muangalie huyo binti hapo afu uje unijibu. Achana na hy picha ya nyongeza ya condom8 hivyo mzee🤣😂😂
tumejikuta watumwa kwa wanawake, sijui ni wapi kulikua chanjo cha kosa, wanawake wenywe hawashawishi, hwasisimui yaani taabu tupu.Yaani unatakiwa upambane kutafuta mahitaji lakini pia unatakiwa uzungushe kiuno kama feni bovu ili mtoto wa watu afurahie........umeme ukiwa mdogo lawama.........
😃😃😃😃😃✌️
Kwahy tushindane na tulipotoka.?Hii kauli yako itakusababishia matatizo kijana.......utaachwaje wakati mtoto wa watu ana hamu na wewe ndio ndimu mkata shombo
Sio utumwa....bali huo ndio uanamume huo........😄😄😄😄😄tumejikuta watumwa kwa wanawake, sijui ni wapi kulikua chanjo cha kosa, wanawake wenywe hawashawishi, hwasisimui yaani taabu tupu.
Kuna Hadi interview ya Jamaa, ni 6 😂🤣Muangalie huyo binti hapo afu uje unijibu. Achana na hy picha ya nyongeza ya condom
Alaf hapo wanategemea mwili uwe sawa etHawa wenzetu wanatuua sana na mapishi......unakuta mchuzi unashinda na mafuta vyote vinaelea.......
Huwezi kushindana na ulipotoka bali kutimiza wajibu wako kama mtu maalumu aliyeingia naye mikataba wa jambo hiloKwahy tushindane na tulipotoka.?