Kikao Cha Kamati Kuu, kwenye Habari ya Maridhiano, Mbowe akiri alifanya kosa kubwa

Kikao Cha Kamati Kuu, kwenye Habari ya Maridhiano, Mbowe akiri alifanya kosa kubwa

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Mwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.

Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.

Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku aliyekosa ung'amuzi, anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.

Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
 
Mwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.

Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.

Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku mjinga anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.

Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
Duniani mapito, mkutano kwa alietuumba
 
20240616_072623.jpg

Mwamba tuvushe huna baya mwenyekiti wewe ndio kiboko ya CCM
 
Mm nadai korani mpya hiii iliyopo inanyima ubongo nafasi ya kufikiri


Soma hapa
1. Mafundisho ya kijamii

Qur'an inasisitiza haki za binadamu, usawa, na heshima kwa wote, na masuala haya yanaendelea kuwa muhimu katika jamii za kisasa. Kwa mfano:

Usawa kati ya wanaume na wanawake: Qur'an inasisitiza usawa wa kijinsia, na inatoa haki kwa wanawake, ikiwa ni pamoja na haki za kumiliki mali, haki za ndoa, haki za kurithi, na haki za elimu. Katika zama za sasa, ambapo masuala ya usawa wa kijinsia yanazungumziwa, mafundisho ya Qur'an yanabaki kuwa ya kisasa.

Haki za watoto: Qur'an inaelezea haki za watoto, hasa kuhusiana na malezi bora na haki ya kuishi. Hii ni sawa na malengo ya haki za mtoto yaliyoainishwa na Umoja wa Mataifa.


2. Maadili ya kifamilia

Qur'an inatoa mwongozo kuhusu ndoa, talaka, na malezi ya familia. Hii ni muhimu katika kila jamii, na inasaidia kutoa miongozo ya kumlinda mtu binafsi na kuimarisha familia. Mfano:

Ndoa: Qur'an inasisitiza ndoa kama mkataba wa heshima na usawa. Kwa mfano, Qur'an inasisitiza kuhusu uaminifu na usawa katika ndoa: "Naishi na wake zenu kwa uadilifu" (Qur'an 4:19).

Talaka: Qur'an inatoa miongozo ya haki za pande zote mbili wakati wa talaka, akisisitiza kutunza haki za wanawake na wanaume: "Talaka inaruhusiwa mara tatu, basi semeni neno la haki" (Qur'an 2:229).


3. Mafundisho ya uchumi

Qur'an inasisitiza haki ya mali, usawa wa kiuchumi, na utawala wa fedha. Mambo kama ushirikiano wa kifedha, uhuru wa biashara, na kudhibiti riba ni miongoni mwa masuala ambayo Qur'an iligusia tangu wakati wa Mtume Muhammad, na haya ni masuala yanayohusiana sana na masuala ya kifedha ya kisasa. Mfano:

Riba (Usury): Qur'an inakataza riba, ambayo inasemekana kuwa ni dhuluma: "Enyi mliyo amana! Msifanye riba mara kwa mara ili msitengeneze mali kwa kutumia mali ya watu kwa batili" (Qur'an 3:130).

Sadaka na Zaka: Qur'an inasisitiza umuhimu wa kutoa sadaka (zaka) kwa wale wanaohitaji, kama sehemu ya jamii ya kiuchumi. Hii ni hatua muhimu katika kupunguza umaskini na kutekeleza haki ya kijamii.


4. Kusimamia mazingira

Qur'an pia inaelezea umuhimu wa kutunza mazingira na kuishi kwa usawa na maumbile. Katika dunia ya sasa, ambapo masuala ya mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira ni changamoto kubwa, Qur'an inatoa mifano ya kisasa kuhusu kutunza ardhi, maji, na viumbe hai.

Utunzaji wa mazingira: Qur'an inasema: "Na ardhi ameifanya kuwa yenye kupangiliwa kwa ajili yenu, ili mtachukue kutokana nayo vyote mnavyohitaji" (Qur'an 55:10). Hii inaonyesha dhima ya binadamu katika kutunza na kujali mazingira.


5. Kusuluhisha migogoro na amani

Qur'an inasisitiza umuhimu wa amani na suluhu wakati wa migogoro. Katika dunia ya leo, ambapo vita na migogoro ni changamoto kubwa, mafundisho ya Qur'an kuhusu amani na kusuluhisha migogoro yanaendelea kuwa muhimu:

Amani: Qur'an inasema: "Na ikiwa wanao hamu ya amani, basi nitakuwa na amani" (Qur'an 8:61). Hii inaonyesha msisitizo wa kutafuta amani hata katika hali za vita.


6. Sayansi na maarifa

Qur'an inajumuisha mafunzo ya sayansi, ikiwa ni pamoja na elimu ya anga, maji, viumbe hai, na afya. Kwa mfano:

Uumbaji wa Dunia na Mbingu: Qur'an inaelezea maelezo kuhusu uumbaji wa mbingu na ardhi na jinsi alivyoviumba viumbe hai, na baadhi ya vipengele hivi vimeonekana kuwa vya kisayansi na vinaweza kuhusianishwa na utafiti wa kisasa.

Mbali ya Jua na Mwezi: Qur'an inasema: "Na jua lina mwangaza wake, na mwezi ni kivuli kilichong'aa" (Qur'an 10:5). Hii inaonyesha uhusiano kati ya jua na mwezi, ambapo mwezi hauwezi kutoa mwangaza wa asili bali ni taa inayorefushwa na jua.
 
Mwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.

Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.

Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku mjinga anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.

Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
Walimuonya watu hakusikia, including lissu. Is why watu wanamtaka aende out
 
Soma hapa
1. Mafundisho ya kijamii

Qur'an inasisitiza haki za binadamu, usawa, na heshima kwa wote, na masuala haya yanaendelea kuwa muhimu katika jamii za kisasa. Kwa mfano:

Usawa kati ya wanaume na wanawake: Qur'an inasisitiza usawa wa kijinsia, na inatoa haki kwa wanawake, ikiwa ni pamoja na haki za kumiliki mali, haki za ndoa, haki za kurithi, na haki za elimu. Katika zama za sasa, ambapo masuala ya usawa wa kijinsia yanazungumziwa, mafundisho ya Qur'an yanabaki kuwa ya kisasa.

Haki za watoto: Qur'an inaelezea haki za watoto, hasa kuhusiana na malezi bora na haki ya kuishi. Hii ni sawa na malengo ya haki za mtoto yaliyoainishwa na Umoja wa Mataifa.


2. Maadili ya kifamilia

Qur'an inatoa mwongozo kuhusu ndoa, talaka, na malezi ya familia. Hii ni muhimu katika kila jamii, na inasaidia kutoa miongozo ya kumlinda mtu binafsi na kuimarisha familia. Mfano:

Ndoa: Qur'an inasisitiza ndoa kama mkataba wa heshima na usawa. Kwa mfano, Qur'an inasisitiza kuhusu uaminifu na usawa katika ndoa: "Naishi na wake zenu kwa uadilifu" (Qur'an 4:19).

Talaka: Qur'an inatoa miongozo ya haki za pande zote mbili wakati wa talaka, akisisitiza kutunza haki za wanawake na wanaume: "Talaka inaruhusiwa mara tatu, basi semeni neno la haki" (Qur'an 2:229).


3. Mafundisho ya uchumi

Qur'an inasisitiza haki ya mali, usawa wa kiuchumi, na utawala wa fedha. Mambo kama ushirikiano wa kifedha, uhuru wa biashara, na kudhibiti riba ni miongoni mwa masuala ambayo Qur'an iligusia tangu wakati wa Mtume Muhammad, na haya ni masuala yanayohusiana sana na masuala ya kifedha ya kisasa. Mfano:

Riba (Usury): Qur'an inakataza riba, ambayo inasemekana kuwa ni dhuluma: "Enyi mliyo amana! Msifanye riba mara kwa mara ili msitengeneze mali kwa kutumia mali ya watu kwa batili" (Qur'an 3:130).

Sadaka na Zaka: Qur'an inasisitiza umuhimu wa kutoa sadaka (zaka) kwa wale wanaohitaji, kama sehemu ya jamii ya kiuchumi. Hii ni hatua muhimu katika kupunguza umaskini na kutekeleza haki ya kijamii.


4. Kusimamia mazingira

Qur'an pia inaelezea umuhimu wa kutunza mazingira na kuishi kwa usawa na maumbile. Katika dunia ya sasa, ambapo masuala ya mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira ni changamoto kubwa, Qur'an inatoa mifano ya kisasa kuhusu kutunza ardhi, maji, na viumbe hai.

Utunzaji wa mazingira: Qur'an inasema: "Na ardhi ameifanya kuwa yenye kupangiliwa kwa ajili yenu, ili mtachukue kutokana nayo vyote mnavyohitaji" (Qur'an 55:10). Hii inaonyesha dhima ya binadamu katika kutunza na kujali mazingira.


5. Kusuluhisha migogoro na amani

Qur'an inasisitiza umuhimu wa amani na suluhu wakati wa migogoro. Katika dunia ya leo, ambapo vita na migogoro ni changamoto kubwa, mafundisho ya Qur'an kuhusu amani na kusuluhisha migogoro yanaendelea kuwa muhimu:

Amani: Qur'an inasema: "Na ikiwa wanao hamu ya amani, basi nitakuwa na amani" (Qur'an 8:61). Hii inaonyesha msisitizo wa kutafuta amani hata katika hali za vita.


6. Sayansi na maarifa

Qur'an inajumuisha mafunzo ya sayansi, ikiwa ni pamoja na elimu ya anga, maji, viumbe hai, na afya. Kwa mfano:

Uumbaji wa Dunia na Mbingu: Qur'an inaelezea maelezo kuhusu uumbaji wa mbingu na ardhi na jinsi alivyoviumba viumbe hai, na baadhi ya vipengele hivi vimeonekana kuwa vya kisayansi na vinaweza kuhusianishwa na utafiti wa kisasa.

Mbali ya Jua na Mwezi: Qur'an inasema: "Na jua lina mwangaza wake, na mwezi ni kivuli kilichong'aa" (Qur'an 10:5). Hii inaonyesha uhusiano kati ya jua na mwezi, ambapo mwezi hauwezi kutoa mwangaza wa asili bali ni taa inayorefushwa na jua.
Shee hujasoma ufahamu na ufupisho? Mm siweziiiiii soma lomoni zote hizo
 
Shee hujasoma ufahamu na ufupisho? Mm siweziiiiii soma lomoni zote hizo
Ufupisho
Qur'an inaenda na wakati kwa kutoa mafundisho yanayohusiana na masuala ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Inasisitiza haki za binadamu, usawa, mafundisho ya kifamilia, uchumi, kutunza mazingira, amani, na umuhimu wa elimu, yote ambayo ni muhimu katika dunia ya kisasa. Hivyo, Qur'an inabaki kuwa mwongozo muhimu kwa changamoto za kila zama.
 
Mwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.

Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.

Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku mjinga anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.

Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
Kwani Mbowe anachotaka zaidi ya ruzuku?nyie endeleeni kumkumbatia
 
Back
Top Bottom