Gef
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 500
- 433
uongoDuniani mapito, mkutano kwa alietuumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uongoDuniani mapito, mkutano kwa alietuumba
Bibi yako unae?uongo
Hongera zimwendee mwenyekiti CHADEME Dodoma kwa kuyaibishabma ccm na polisi wao.Mwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.
Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.
Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku mjinga anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.
Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
UONGOBibi yako unae?
Chadema tunaumizana wenyewe tu.....naungana na Lissu aliyesema tulifanya makosa makubwa kuweka Imani yetu kwa huyu mama...sasa Chatu ameshatumeza nusu, kitakachosaidia ni mabadiliko ya haraka....Walimuonya watu hakusikia, including lissu. Is why watu wanamtaka aende out
Mbona hela zetu za kodi zikitumika kwenye miradi mnamshukuru Samia kwa kutoa fedha hizo huku mkijua siyo kweli? Sasa kwanini asilaumiwe pia kwa makosa ya watendaji wake?Unamlaumu Samia wakati waliofanya hayo mnawajua
Ubaya tu. Ila atakufa hata yeyeSamia kaamua "ubaya uwe juu ya ubaya". Hana huruma ktk dhulma..
Tutajie mtaa huo?Bila huo ushahidi utakuwa mzushi tu.Wewe ndio umeleta hayo madai kawa hiyo burden of proof itakuwa juu yako.Lema ameshakisaliti chama! Kweli lema ni mtu wa kukosa hata mtaa mmoja Arusha kati ya mitaa 154?? Kilichonichekesha CCM na umburura wao, kuna mtaa mwenyekiti kapata kura 1,200 lakini waliojiandikisha walikuwa 300 sasa anayedanganywa hapa ni Samia au CHADEMA??
Unajua mamlaka aliyokuwa nayo raisi kwenye nchi za wapumbavu kama hii?Unamlaumu Samia wakati waliofanya hayo mnawajua
Mbowe anatakiwa aondoke kwenye hyo nafas kuepusha chadema kuendelea kudidimiaMwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.
Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.
Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku mjinga anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.
Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
Mbowe ni tajiri ukoo wenu utasubiri sn hilo hata mumeo analijuaKwani Mbowe anachotaka zaidi ya ruzuku?nyie endeleeni kumkumbatia
AjiuzuluUlitaka Mbowe afanyaje? kuandamana hamtaki na maridhiano hamtaki afanye nini?
UWT umetumwa?Ajiuzulu
Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo njeMwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.
Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.
Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku mjinga anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.
Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
Kwahiyo Freeman ni Kuku wa Kienyeji? 😂Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje