Wewe hapo mbona hukuandamana?acha UCHIZI basi,Mzee mbowe yeye anataka hela (ruzuku)tu kwa hiyo nyie endeleeni kumuamini.Ulitaka Mbowe afanyaje? kuandamana hamtaki na maridhiano hamtaki afanye nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hapo mbona hukuandamana?acha UCHIZI basi,Mzee mbowe yeye anataka hela (ruzuku)tu kwa hiyo nyie endeleeni kumuamini.Ulitaka Mbowe afanyaje? kuandamana hamtaki na maridhiano hamtaki afanye nini?
Utakuwa umezaliwa katika familia ya walevi na familia ilokosa adabuBila kusahau kuwaua wasio waislamu na kwamba shetani ni mwafrika. Jinga na likitabu lako hilo
Kuna haja ya kutengana na matapeli hawa wa kisiasa na kutowaamini daima.Mwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.
Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.
Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku aliyekosa ung'amuzi, anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.
Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
Anayepaswa kulaumiwa ni TL si Mbowe.Mwenyekiti Mbowe, kwa kiasi kikubwa, bila ya kuwahusisha viongozi wenzake na wanachama, ndiye aliyeingia kwenye maridhiano bandia na Samia. Na ni yeye, ndiye mara nyingi aliwashawishi wanachama na viongozi wenzake kuwa maridhiano yalikuwa na faida na dhamira njema.
Leo kila mmoja ana uhakika kuwa maridhiano yale na 4Rs ulikuwa ni utapeli wa hali ya juu kwenye siasa.
Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje, anamrushia mtama ndani ya chumba, kuku aliyekosa ung'amuzi, anaamini kuwa anapendwa sana ndiyo maana amepewa chakula ndani ya nyumba, anaingia ndani, kisha mfugaji anafunga mlango, anamkamata na kwenda kumchinja. Maskini kuku huyu mjinga, siku aliyoamini sasa anapendwa na kuthaminiwa sana, kumbe ndiyo ilikuwa siku ya mwisho wa uhai wake. Anauawa bila kelele, bila hata kuku wenzake waliopo nje kusikia, bila ya kuwa na uwezo hata wa kukimbia.
Mazingira ni magumu sasa kuliko hata wakati kabla ya maridhiano haya bandia. Mwaka 2019, walipora tu uchaguzi, lakini hakuna waliotekwa wala kuuawa wala kuumizwa. Uchaguzi wa mwaka huu, wamepora uchaguzi, wameua na kuwaumiza wote walioonesha dalili ya kutaka kuzuia uporwaji wa uchaguzi.
Mbowe abaki kwani amejifunza asidanganyike na wapora madaraka.Mbowe anatakiwa aondoke kwenye hyo nafas kuepusha chadema kuendelea kudidimia
Ninaizungumzia Chadema Mkuu, Uchaguzi ni suala la Kitaifa siyo Kichama..Kwa hivyo uchaguzi utakuwa huru akishaondoka Mbowe?
Watoto wa afu mbili hawawezi kujua KONTAPIN inavyo fanana ha ha haCcm ni kama quaterpin ya baiskeli yani, inaingia kwa nyundo na itatoka kwa nyundo, sijui kwa nini Mbowe halielewi hili? Mbona sio rocket science hii
Ila chadem bhana 😂😂😂View attachment 3165031
Mwamba tuvushe huna baya mwenyekiti wewe ndio kiboko ya CCM
Mbowe ataandamana peke yake sababu ni msalitiUlitaka Mbowe afanyaje? kuandamana hamtaki na maridhiano hamtaki afanye nini?
Wewe kwenye nyuzi zangu ulikua unamtetea sana huyo mtu na ukadhani Mimi ccm kwamba nampinga mbowe Leo imekuaje unalialia hapa kuhusu huyo mlevi wa madaraka ya chamaMbowe akae pembeni
Mbowe aachie mawazo mapya yashike hatamu Chadema.
Na mumeo ambaye siyo msaliti ataandamana na nani?Mbowe ataandamana peke yake sababu ni msaliti
We ni Mke wa mbowe àu umasikini unakusumbua akili imeruka?Na mumeo ambaye siyo msaliti ataandamana na nani?
Muulize mumeo ananifahamuWe ni Mke wa mbowe?
Unatatizo la afya ya akili mke wa mboweMuulize mumeo ananifahamu
Ulitaka tumwamini mumeo?Wewe hapo mbona hukuandamana?acha UCHIZI basi,Mzee mbowe yeye anataka hela (ruzuku)tu kwa hiyo nyie endeleeni kumuamini.
Nisaidie tiba dada anguUnatatizo la afya ya akili mke wa mbowe