Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,675
- 903
Hujakutananao, Wana shoo Kali hatari, mpaka inakuwa unamuwaza sanaNi uchafu kula mke wa mtu, kulala na mke wa mtu ni jambo la ajabu sana.
Unajua pasi na shaka, huyu analala na mume wake yule pale kila siku.
Sijui wanaume tuna shida gani, unakosaje pride ya kukubaliana na uchafu wa kiwango hicho.
Hapa inabidi tuzirudie mila za zamani (hata kwenye Bible zimo) tuoe mwanamke zaidi ya mmoja kupunguza matamanio ya nje.Kutoka na Mke wa Mtu ni ishara kubwa sana ya kuusaliti uanaume wako. Tuwatii wazee wetu Mke wa Mtu ni sumu.
Umejuwaje kama ni mke wa mtu au kauliwa mbele ya mkewe?Nke ya ntu sumu. Wale wazee wa maziwa magetoni ujumbe wenu huu hapa.
Onyo,. Video inatisha kidogo
Mbona ni kama ughaibuni huko, hayatuhusuNke ya ntu sumu. Wale wazee wa maziwa magetoni ujumbe wenu huu hapa.
Onyo,. Video inatisha kidogo
Hii ni ya kibabe sana toamboa sana ukijua next stepNke ya ntu sumu. Wale wazee wa maziwa magetoni ujumbe wenu huu hapa.
Onyo,. Video inatisha kidogo
kuna mmoja nimmekaza sana sijui ndo mkeo5. Mke wa mtu sumu hata kama ghetto kuna maziwa.
Sasa kule kwa makahaba na mabaamedi unafataga nn kama hoja ni kinyaa?Ni uchafu kula mke wa mtu, kulala na mke wa mtu ni jambo la ajabu sana.
Unajua pasi na shaka, huyu analala na mume wake yule pale kila siku.
Sijui wanaume tuna shida gani, unakosaje pride ya kukubaliana na uchafu wa kiwango hicho.
sina mke mkuu.kuna mmoja nimmekaza sana sijui ndo mkeo