Kikao cha Wanaume: Usimkule Mke wa Mtu Hata Kama Kajirahisi Vipi Kwako

Kikao cha Wanaume: Usimkule Mke wa Mtu Hata Kama Kajirahisi Vipi Kwako

Ni uchafu kula mke wa mtu, kulala na mke wa mtu ni jambo la ajabu sana.

Unajua pasi na shaka, huyu analala na mume wake yule pale kila siku.

Sijui wanaume tuna shida gani, unakosaje pride ya kukubaliana na uchafu wa kiwango hicho.
Hujakutananao, Wana shoo Kali hatari, mpaka inakuwa unamuwaza sana
 
Kutoka na Mke wa Mtu ni ishara kubwa sana ya kuusaliti uanaume wako. Tuwatii wazee wetu Mke wa Mtu ni sumu.
Hapa inabidi tuzirudie mila za zamani (hata kwenye Bible zimo) tuoe mwanamke zaidi ya mmoja kupunguza matamanio ya nje.

Hizi utamaduni za kizungu kutukataza kuoa wanawake wengi halafu wanatulazimisha tuonane watu wa jinsia moja huwa hainingii akilini!
 
Ni uchafu kula mke wa mtu, kulala na mke wa mtu ni jambo la ajabu sana.

Unajua pasi na shaka, huyu analala na mume wake yule pale kila siku.

Sijui wanaume tuna shida gani, unakosaje pride ya kukubaliana na uchafu wa kiwango hicho.
Sasa kule kwa makahaba na mabaamedi unafataga nn kama hoja ni kinyaa?
 
Back
Top Bottom