Siyo kwamba utapewa kila mwezi. Wanakupatia kila baada ya miezi 6 baada ya kuzungushwa huku ukiwa na kisukari kikali na homa kali. Ukichukua miaka 2 tu tayari unaenda kaburiniHuu ndio upuuzi wenyewe. Ulipwe 33% alafu nyingine ulipwe kwa mwezi. Sasa kama mtu una uwekezaji wako unategemea pesa ya uhakika ndio umefeli , serikali iache kufanya raia wategemezi.
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app