Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kwa hiyo wao wanaanzishiwa makundi na wazungu,hawana akili ya kureason?
Shida ni pale dini inapotafuta uhalali wa kutawala kisiasa
Kwani Anti Balak ya Afrika ya kati ni Waislamu??

Pili mtu mweusi uwezo wake wa kureason ni mdogo sana kutokana njaa na shida zinazompiga kila siku. Hata Tanzania watu mngekuwa na uwezo wa ku reason CCM mngeshaiondoa siku nyingi sana.
 
Ebu zitaje hizo nchi za kikristo za ulaya.
Yaani wakristo waañzishe makundi ya waislam yauwe wakristo?
Huna akili weee gaidi.
Wewe ndo unatumika makalio kufikiri. Kwa mzungu hamna dini mbele ya maslahi yao. Wao wanachotaka ni nyie kuwa bize na magaidi wakati wao wakifaidi Rasilimali zenu au nyie kuendelea kuwa maskini Ili muendelee kuwa wateja wao wa mikopo
 
kwemy matatizo yote ya Afrika ntabalia kulaumu serikali husika , kila ugaidi unasapotiwa na viongoz serikalini , ugaid unafaida kwa serikali kuliko Marekani na ufaransa , Hawa viongoz serikalini hufanya juu chini kutengeneza picha kuwa ni mataifa ya magharibi ndio chochea mf kipind BOKO HARAMA wanaanza kushamili walishindwa vip kudhibit mipaka ili chakula na silaha zisiwafikie hv BOKO HARAM wangemaliza hata miaka 5 ? MAKUNDI YA KIGAID YANACHOCHEWA NA SERIKALI ZETU HZ ZA AFRIKA NA SIO NCHI ZA MAGHARIBI
 
Kwani Anti Balak ya Afrika ya kati ni Waislamu??

Pili mtu mweusi uwezo wake wa kureason ni mdogo sana kutokana njaa na shida zinazompiga kila siku. Hata Tanzania watu mngekuwa na uwezo wa ku reason CCM mngeshaiondoa siku nyingi sana.
unajitoa ufahamu kuwa ant balak iliundwa baada ya waislam kuunda seleka na kupindua nchi na kuanza kuua wakristo waliowakaribisha mlipokimbia vita sudan na chad ila fadhira zenu zilikuwa kupindua nchi na kuua wenyej
 
Wewe umezaliwa jana na akili yako umedumazwa na ugali wa Mahindi. Waasisi wa makundinya kigaidi ni Ulaya na MAREKANI Kwa Wazungu. Wala siyo Waislamu. Ingia hata google ukatafute makundinya kigaidi ya Kikristo yaliyowahi kuzitesa Dunia.
 
Kuna mtaalamu wa masuala ya Ugaidi alisema, UGAIDI na SERIKALI ni kichwa na mkia katika NYOKA MMOJA,...
Aliona mbali mnooo
Unajua unaweza ona jambo tofauti ila ukiingia kwenye system ukaishiwa nguvu kuona mambo yenyewe namna yanatendeka
 
Magaidi wangekua hawaungwi mkono na marekani na NATO na EU ingekua rahisi sana kuwafuta ila hao walowaasisi wana nguvu sana tatizo huanzia hapa
kwahiyo hao magaid ni wazungu au waafrika wenzetu ? kwann tusiwalaumu hao waafrika wenzetu au mwafrika ni mwehu hajui matumiz ya silaha zaid ya kuua waafrika wenzie
 
Magaidi ya anti balaka yaliua sana watu afrika ya kati wale magaidi walikua wanaungwa mkono na nani Roman catholic au
Roman Catholic pia ilishawahi kuwa na kukundi kikatili sana Cha Kigaidi waliloibatiza jina la Crusaders. Hawa crusaders waliitawala Israel na hasa mji wa Yerusalemu Kwa miaka kama 200.

Lakini pia kule Ulaya enzi Holy Roman Empire Kanisa ilikuwa vichwa vingi sana za wasiokubaliana na dini Katoliki.
 

Inawezekana ikawa kweli. Mfano Joseph Koni lilikuwa zao la Mseven. Kasumbua Uganda miaka yote
 
yakiwepo makundi ya kigaid ya kikristu ndo inakuwa sabab ya kuyachekelea makundi ya kigaidi ya kiislam , haki ya mungu kwa akil zako kweny utawala wang nakunyongah
Utamnyonga saa ngapi wakati Magaidi wanatafuta kichwa chako wewe Kafiri.
 
Kuna maswali huwa najiuliza:
  • hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
  • hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?
thing is there's someone from inside engineering these groups.

Ever wondered where do they get the weapons and food given the time spent hiding in the wilds?

You need a super intelligent agency to spot the moles from within and dismantle the chain. Who want to orchestrate this?
 
Al Qaida,ISIS,Al Shabaab,Hamas,Hezbola Kataib Hezbola,BokoHaram,ISIS khorasan,Lashgar Ataiba, Al Qaida Magharibi,Abu Sayaf, na sasa Magaidi wapya wa Lukarawa.
 
kwahiyo hao magaid ni wazungu au waafrika wenzetu ? kwann tusiwalaumu hao waafrika wenzetu au mwafrika ni mwehu hajui matumiz ya silaha zaid ya kuua waafrika wenzie
Hata kutoa silaha kuwapa wengine ili wauane pia ni wehu pia kama kuuana ni wehu hata wazungu wa Ukraine wanapelekewa silaha wauane wenyewe kwa wenyewe
 
Haya wakristo wana yafumbia macho hawataki kuyasema wala kuyasikia
 
yakiwepo makundi ya kigaid ya kikristu ndo inakuwa sabab ya kuyachekelea makundi ya kigaidi ya kiislam , haki ya mungu kwa akil zako kweny utawala wang nakunyongah
Wewe hata kutawala Familia yako sidhanii kama unaweza halaf uje unitawale mimi kwa akili zipi mpaka unitawale mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…