Wafaransa na washirika wao ni washenzi na ndio chanzo cha instability Kwa kiasi kikubwa Africa ,we angalia tu nchi za kifaransa ,hawa washenzi ni nuksi ,na Mrusi kafanya kazi nzuri kuwafurusha hawa washenzi huko Bikinafasso ,Niger ,Mali , ugaidi hausikiki tena huko ,
Kwanini ninyi wapumbavu hamkai na kujiuliza hili swali , ugaidi umebaki chad ,ngome ya mfaransa na Nigeria ngome ya mmarekani na mwingereza na interests zao humo .
Mfaransa na influence yake Congo DRC ,vita haiishi huko ,natamani wanaume Wagner watie kambi Congo