Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

Shika adabu yako.

Nyerere alikuwa mwalimu
Mwinyi alikuwa mwalimu
Magufuli alikuwa mwalimu
Majaliwa alikuwa mwalimu
Jenista mhagama alikuwa mwalimu.

List ya walimu walioshika madaraka makubwa nchini ni ndefu bwana mdogo
 
Akifa hataacha vimelea?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ni kumtwanga tu marehemu huko aliko mpaka anyooke! Unapigwa juu na chini 😄
 
Itafutika kadiri watu wanavyojua ukweli. Legasi inayopandwa kimaigizo mara mabulungutu ya hela barabarani,mara kuozesha kwa kuku haina maisha marefu. Njia ya mwongo ni fupi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ameacha urais kwa kutoka Ikulu tu, lakini hiyo nafasi bado inaishi ndani ya kichwa chake kila unapomsikiliza.
Sio inaishi kichwa chake..yeye ndo anaongoza nchi hii mpaka sasa.utake usitake. He is the King maker and King unmaker. He is the King himself!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…