Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

Your analysis is absolutely correct, huyu mzee kuna namna anawish aje tawazwa kuwa baba wa taifa msaidizi maana sio bure
Hata nyerere kipindi amestaafu, bado alikua anaongelea siasa mfano kuzuia NBC bank isiuzwe, japo mkapa hakumzimiliza, au kuwatungia akina john malecela kitabu ili asigombee urais,,,
Sasa kama Nyerere alikua kastaafu lskini bado alikua anaongea , kama mkapa alistaafu lakini bado alikua anaingilia hata kuchagua nani awe mgombea urais. ,
Iweje leo iwe nongwa kwa jk, kuongelea suala dogo kama hilo ambalo pia ni ukweli?


Hivi mnadhani kwanini marais wastaafu nao hupewa security briefing?..
I mean ukimtoa mwinyi ambae umri umeenda sana, JK ndo anabaki kuwa Rais mstaafu pekee ambae bafo yuko capable,
Which means anakuwa automatically someone to run to for getting some advices in running the country. ,
Aaand that is very reasonable,, ukichukulia Rais aliepo bado hajamaliza hata mwaka madarakani[emoji2371]
 
Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR. Jakaya Mrisho Kikwete ametia ya moyoni akiwa msibani kwa John Malecela kuwa wakati wa kikombe cha babu wa Loliondo wamo Mawaziri katika Serikali yake walienda kunywa kikombe hicho na amesema kuwa wengine walikuwa wakimwambia wanatengeneza barabara.

Na ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa katika jamii ya kitanzania wapo wanaoamini kuwa kama mganga akimwambia anakuloga huamini moja kwa moja na akiambiwa kuwa ameoteshwa na kitu chochote huamini hivyo hivyo.

Aidha hiki ni kipande cha clip alichosema msibani hapo.

Watajuana wenyewe
 
Kwani wewe ni mgeni kwenye siasa za Tz!?
Uwaziri alimpa kukidhi matarajio ya wananchi kutokana na uwajibikaji wa Magufuli enzi zile.
Sio tu hivyo , kuelekea uchaguzi mkuu 2015,, JK alimwekea waziri JPM ulinzi wa kutosha na mara nyingi walikua nae katika ziara mbalimbali nchini,. Kama angekuwa na bifu na jpm , asingeenda hadi chato na jom kumuona mama yake na jpm
 
Waacheni marehemu wapumzike wananyweshana kikombe huko waliko,maana mnyweshaji na mnyaji si wa dunia hii tena RIP
 
Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR. Jakaya Mrisho Kikwete ametia ya moyoni akiwa msibani kwa John Malecela kuwa wakati wa kikombe cha babu wa Loliondo wamo Mawaziri katika Serikali yake walienda kunywa kikombe hicho na amesema kuwa wengine walikuwa wakimwambia wanatengeneza barabara.

Na ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa katika jamii ya kitanzania wapo wanaoamini kuwa kama mganga akimwambia anakuloga huamini moja kwa moja na akiambiwa kuwa ameoteshwa na kitu chochote huamini hivyo hivyo.

Aidha hiki ni kipande cha clip alichosema msibani hapo.

WEWE MCHONGANISHI
 
Wamekufa marais wote wa zamani isipokuwa Mwinyi(ambae hana tatizo) na Kikwete, Siku ambayo Kikwete atakufa ndio siku ambayo Tz itazaliwa upya maana kila atakeingia pale atakuwa na uhuru wa kutekeleza matakwa yake bila kuathiriwa na team zilizoacha na mtangulizi.

Nimemlenga Kikwete kwakua ndiye pekee asitetaka kuamini, kuwa yeye sio Rais tena.

Kufa kwa Kikwete ndio mwanzo mzuri wa Tz.
 
Wamekufa marais wote wa zamani isipokuwa Mwinyi(ambae hana tatizo) na Kikwete, Siku ambayo Kikwete atakufa ndio siku ambayo Tz itazaliwa upya maana kila atakeingia pale atakuwa na uhuru wa kutekeleza matakwa yake bila kuathiriwa na team zilizoacha na mtangulizi.

Nimemlenga Kikwete kwakua ndiye pekee asitetaka kuamini, kuwa yeye sio Rais tena.

Kufa kwa Kikwete ndio mwanzo mzuri wa Tz.
Duh !
 
Back
Top Bottom