wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Alienda ila huyo jamaa anataka ligi anabishaTatizo lako ni nini? Kwani hakwenda kwa Babu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alienda ila huyo jamaa anataka ligi anabishaTatizo lako ni nini? Kwani hakwenda kwa Babu??
Wote tutakufa.Especially puppets
Wengi waliokimbilia kikombe cha babu walikuwa na HIVRais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR.Jakaya Mrisho Kikwete ametia ya moyoni akiwa msibani kwa John Malecela kuwa wakati wa kikombe cha babu wa Loliondo wamo Mawaziri katika Serikali yake walienda kunywa kikombe hicho na amesema kuwa wengine walikuwa wakimwambia wanatengeneza barabara.
Na ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa katika jamii ya kitanzania wapo wanaoamini kuwa kama mganga akimwambia anakuloga huamini moja kwa moja na akiambiwa kuwa ameoteshwa na kitu chochote huamini hivyo hivyo.
Aidha hiki ni kipande cha clip alichosema msibani hapo.
Watu wa Pwani wanapenda sana mafumbo mafumbo, ila nawaambia hivii, fumbo mfumbie mjinga mwenzakoRais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR.Jakaya Mrisho Kikwete ametia ya moyoni akiwa msibani kwa John Malecela kuwa wakati wa kikombe cha babu wa Loliondo wamo Mawaziri katika Serikali yake walienda kunywa kikombe hicho na amesema kuwa wengine walikuwa wakimwambia wanatengeneza barabara.
Na ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa katika jamii ya kitanzania wapo wanaoamini kuwa kama mganga akimwambia anakuloga huamini moja kwa moja na akiambiwa kuwa ameoteshwa na kitu chochote huamini hivyo hivyo.
Aidha hiki ni kipande cha clip alichosema msibani hapo.
Dongo kwa mwendakuzimu 😬😬.By the way Tzn ni Nchi inaongoza kwa witchcraft DunianiRais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR.Jakaya Mrisho Kikwete ametia ya moyoni akiwa msibani kwa John Malecela kuwa wakati wa kikombe cha babu wa Loliondo wamo Mawaziri katika Serikali yake walienda kunywa kikombe hicho na amesema kuwa wengine walikuwa wakimwambia wanatengeneza barabara.
Na ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa katika jamii ya kitanzania wapo wanaoamini kuwa kama mganga akimwambia anakuloga huamini moja kwa moja na akiambiwa kuwa ameoteshwa na kitu chochote huamini hivyo hivyo.
Aidha hiki ni kipande cha clip alichosema msibani hapo.
Ni sahihi ila kazungumzia baraza la mawaziri na maamuzi sio mambo ya kumponda marehemu.Sawa sijabisha ila aliposema huyo waziri alitumia kigezo cha "tunajenga barabara"moja kwa moja huyu ni magu maana ndie aliekuwa kitengo cha ujenzi
Mimi sijamtaja mtu, bwana @sambulungu....Kikwete ni mwema? Hakuna mwema endelea kujidanganya! Tena mwanasiasa!
Ndiomana hata kuitwa mzee hataki mshishangae ambao hawajastaafu u Freemason ndio walivo, kuitwa si kwa Magufuli pekee maandiko yasema nae ataenda kwa kadri anenavyo ndivyo asogea karibu.Very smart observation, huyu mzee ana matatizo sana . Tena sio kidogo, he just want to be relevant unfortunately majority hawana time nae.,
Wewe wasema bali neno lake Mungu litasimamaHata akifa lkn kikubwa jiwe katangulia
Hakika ni hakika ya Bwana Mungu wetuKila mtu atakufa.
Jizi Hilo Nani apoteze muda kulifikiria.Very smart observation, huyu mzee ana matatizo sana . Tena sio kidogo, he just want to be relevant unfortunately majority hawana time nae.,
Sawa nimekuelewaNi sahihi ila kazungumzia baraza la mawaziri na maamuzi sio mambo ya kumponda marehemu.
Hakuna tofauti na kusema aliyekuwa waziri wangu tulimpitisha kuwa raisi ila kuna mambo alifanya yakaleta shida, mfano suala la korosho. Hajamsema marehemu, kasema taasisi ya uraisi iliyokuwa ikiongozwa na ambaye ni marehemu.
Ukishamtambulisha mtu kwa nafasi yake basi unaongelea taasisi nzima na sio mtu binafsi.
Hata yeye hakuwa na urafiki na JK, alipopata u-prezidaa, alitupa mawe sana, wacha legazi nayo ipigwe mawee!Mzee wa watu kalala ila bado anachapwa viboko vya maneno kutoka kwa watesi wake, hakika hakuna rafiki wa kweli duniani.
Jizi kubwa lilikuwa lile zimwi la Chato. Liliiba trilioni 1.5 na kuzipeleka Chato.Jizi Hilo Nani apoteze muda kulifikiria.
Angalia nisikuroge ndugu raia.Jizi kubwa lilikuwa lile zimwi la Chato. Liliiba trilioni 1.5 na kuzipeleka Chato.
Asungumze akiwa hai hajipendi?Hata yeye hakuwa na urafiki na JK, alipopata u-prezidaa, alitupa mawe sana, wacha legazi nayo ipigwe mawee!
Kwani wewe ni mgeni kwenye siasa za Tz!?Angempa u waziri kama walikua na bifu?
Una ushahidi hata wa picha kwamba jk alikunywa kikombe cha babu au unajisemea tu?Si hata yeye alikunywa! Au imekuwaje tena