mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Mie nadhani alisoma upepo tuu worsen thing ni kwamba constitutional assembly yote aliweka watu wake wenye kufwata anacho taka yeyeHivi Kuna anayejua ni kwa nini JK alianzisha ule mchakato wa katiba mpya? Maana wala haikuwa kwenye ilani wala mipango yao, nini kilimsukuma hasa?
Nb wajumbe mia SITA nusu yao ni presidential appointee what next will happen
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app