Sio yeye tu plus baba penis-we wote wanazeeka vibayaUzee unazidi kumuumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio yeye tu plus baba penis-we wote wanazeeka vibayaUzee unazidi kumuumbua
Una bichwa zito!Kwahy ht baba ake n mchawi, au baba ake yupo hai?
Mchawi anaemsema ni E.N.LAkitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.
Mbona uliomtaja hakuwa active siasani muda mrefu sana na isitoshe yeye ndiye alietendwa 'ubaya' 2015?Mchawi anaemsema ni E.N.L
NasemaJk huwa ni smart sana kuongea, sijui leo amekutwa na nini aiseee
Kipi hujaelewa wewepower hiyo, power corrupts, they play God …
Peleka ujinga wako hukoooUbaya unakawaida ya kujirudia na yeye atakufa na huyo mbibi nae ni wa kufa sote ni wa kufa, Tanganyika inawaangalia kwa hasira
Wachawi walishakufa daktari kipi hujaelewa hapo?Hee kumbe unawajua wachawi?
Wachawi wasiasaKwahy ht baba ake n mchawi, au baba ake yupo hai?
Wachawi wasiasa walishakufa mzeeDuuh, Sijaamini kama ni JK amesema hivyo, kwa jinsi ambavyo huwa namkubali kwa Hekima na Busara
Nyerere, Mkapa na Magufuli.Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.
Nataka hy point ya wachawi muiseme nyie wnyw na sio mmUna bichwa zito!