Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Wakati profesa Assad anafukuzwa kazi kimakosa JK alikuwa Ana cheo gani

Sent from my 2201116SI using JamiiForums mobile app
 
 
Mwendakuzimu Jiwe Mungu aliingilia Kati Kuinusuru nchi, hakukuwa na Sababu ya Kuomboleza Bali kurudisha Sifa na utukufu Kwa Mungu
 
Kwanza elewa hizi page zinaendeshwa na wasaidi wao, Pili ratiba ya mazishi imeshatoka, wazee wa Lindi wana jambo lao, tutegemee nini baada ya VAR ya wazee? Tukae kitako kwa kutulia.
Kwani upande wa pili hawana wazee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unastahili kutunukiwa udaktari wa heshima kutokana na juhudi zako chonganishi.
Mlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo😂😂
Hakumwelezea vizuri kwa sababu magu hakuwa mtu wa circle za kwenye ukachero na alikuwa mtu wa shamba na mgeni ktk ccm. Kimsingi JK alikuwa anamjuajua magu lakini siyo kivile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…