Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Sasa kama hawakupitia kwenye changamoto ulitaka adanganyeKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Unapaswa kushangaa kwamba JPM hakuwa rafiki wa JK lakini JK alimpa u waziri na baadaye kuruhusu hata awe rais! Kama Kikwete ana chuki na JPM basi kosa ni la JPM sio la JK. Unaelewa?Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Ndiyo,hawafii madarakani.ooooh "Kifo hakina mwenye"!??
Nilikua sijui hili, nilifikiri "Watu wazuri hawafi".
Nendeni mkazike mzoga wenuKwa hiyo JPM hakuwahi kufanya vitendo vyenye viashiria vya ufisadi?
Yeye hakuwa fisadi?
Mbona waliingilia Uhuru wa CAG na kumsakama mpaka kuondolewa kabla ?
Acheni kujichanganya wenyewe.
Sijakuelewa mkuu kuhusu kuwachagia maafisa masoko wengi IOC na mahakama za kadhiKule uarabuni kwenye Arab spring nako walimtimua, alikuwa anataka eti awatawale, ikaabidi aelekeze nguvu Afrika akazuga anataka umoja wa Afrika kumbe ya kidini. Aliwachanguwa maafisa masoko wengi Afrika wa hoja za oic na mahakama ya kafhi
Daah!Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Malaika wako wa Chato alimuwajibisha nani? Hizo report za CAG za leo huo wizi ndo ulifanyika enzi zake. Yeye ndiye aliyeanzisha style mpya za upigaji. Malaika wa chato hakuwa muadilifu hata kwenye mambo ya kijamii. Aagh, muache tu aendelee kuongoza Malaika huko aliko.Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo nchini kwa sasa ni KIKWETE.
Huyu ndio shida kubwa na chanzo cha ufisadi na kushindikana kuwajibishwa mafisadi. Wizara zote CAG alizotaja kuhusika na ufisadi wa kutisha ni vijana wa Kikwete aliyeiteka CCM na mtandao wake wa uhalifu.
Kwani ina maana gadafi alitaka kuleta huku afrika arab,nazation na sio umoja wa afrika???Kule uarabuni kwenye Arab spring nako walimtimua, alikuwa anataka eti awatawale, ikaabidi aelekeze nguvu Afrika akazuga anataka umoja wa Afrika kumbe ya kidini. Aliwachanguwa maafisa masoko wengi Afrika wa hoja za oic na mahakama ya kafhi
Mkuu swali lako limekaa kisomi zaidi......Sijui kama utajibiwaKwahiyo vyuo vyote vimejengwa na Magu?
Hospitali zote zimejengwa na Magu?
Mashule yote yamejengwa na Magu?
Barabara na madaraja yote yamejengwa na Magu?
Mitambo na mabwawa yanayozalisha umeme hivi sasa yamejengwa na Magu?!
Unajua huwa napata mashaka sana na uelewa wa Wafuasi wa Magu!
Let's assume una elimu ya Chuo Kikuu!! Ni infrastructure ipi iliyojengwa na JPM ambayo ndio iliwezesha wewe kuwa na elimu ya chuo ya kikuu hadi uone kufariki kwa Magu kutafanya lisifanyike jambo lingine lolote lile?
Na kama zilikuwepo ni siasa tu.Kikwete alipitia changamoto zipi za kimaisha na Magufuli?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Wewe ulishindwa nini kumwelezea kwa kirefu yule shetani muhutu mwenzio!Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Mpumbavu nao ni kipaji! Ushetani wa yule muhutu nani anautaka tena!Msilolijua ni moja tu. Magufuli alikuwa anatumikia kusudi la Mungu.
Hivi Nikuulize kwa Bunge hili la Tanzania Kuna siku litafanya maamuzi ya kuliletea maendeleo Taifa?
Kuna siku litatengeneza sheria yenye maslahi ya wananchi bila wao kufikiri maslahi yao kwanza?
Msijidangane baada ya Magufuli na miradi yake kukamilika Hakuna atakayekuja na wazo jipya
Hayupo Sio CCM wa CHADEMA.
CCM wanawaza kuuana tu mtu akipita mbele ya maslahi yake.
Wewe mwenyewe umeona Membe ameondolewa mapema asije akamsumbua Mama kesho kutwa.
Mwenye ufahamu anaelewa
Hizi ni karata za awali zinachezwa
Urafiki haulazimishwi Membe amekuwa bestfriend wa Kikwete toka 1990's.
Magufuli hakuwa rafiki yake Kikwete alikuwa mwanasiasa mwenzake tu
Nendeni mkazike mzoga wenu nyie mafisadiJPM hata hakuwa mwanasiasa alikuwa anaitwa bulldozer..!! Sasa dunia ya leo bulldozer ataelewana na nani? Bulldozer ni jina lingine la dictator wa kisasa.
Suala la Idd Amini ni gumu sana!!Kama Iddi Amini alikua ni Mtu mwema,Nini chanzo cha Vita ya Kagera!!? Unataka kusema Nyerere ndiyo hakua Mtu mwema hadi akamvamia Amini na kumchapa!!?
Unaishi Mkoa Gani?Lecture us, what is Kikwete's legacy after ten years of presidency other than diabolical conspiracy against Dr. Salim Ahmed Salim and mega corruption scandals?