Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Kuna Point hapa
Your browser is not able to display this video.

.. vilaza wanatusumbua...
 
Weee mzee ukiingia huko serikalini wooote walirisiti na kufika hapo.
 
Nafikiri Kuna shida kwenye katiba yetu ambayo inawapa mamlaka hao makajanja na kuwanyima nafasi wenye div one . Rejea issue ya vyeti feki.
Sasa div one wangapi walidhulumiwa ktk mfumo huo.
Mpaka mtu kasomea arts ,,,,,,,,,,,,,ana gombea urahisi na kusema kasoma arts yenye economics .
Sasa wewe fikiria kwenye mkataba huu mpiga ngoma ni Msukuma na wanaofanana naye . Bahati mbaya au nzuri na kiongozi wa muhimili mwingine naye anakuwa Hana nguvu ya kumsimamia muhimili mwingine.
 
Ina bidii cv zao zishushwe hapa ili tujue aina ya viongozi tuliokuwa nao au tunao wachagua. Iran la kwanza mbunge awe graduate. Sasa sijui kama huko Kuna vyeti feki na kubebwa au kuiba mitihani
 
Kwani kwa mtu mweusi wenye elimu wanathaminiwa mawazo yao? Nani ana division one na nani hana? ebu twambie walioko ofisini ni nani ana division one hiyo unayosema hapa na nani hana?

Nchi inaongozwa kikajanja janja bwashe, wenye wamewekwa pembeni chama kimeshika hatamu wakati huko chamani ndio wamejaa division five, kimbilio la wajinga walioshindwa shule ni CCM ndani ya nchi hii

Paschal acha kuwasema wabunge wa JMT walio wengi hawana hata sifa ya kuwa madiwani katika nchi hii, hivi leo hii darsa la saba anakuwa mbunge Tanzania sasa umuhimu wa elimu iko wapi, wakati hata elimu hiyo tu haipewi kipaumbele?

Acheni wanaojua umuhimu wa elimu wanunue bandari zetu, mimi hata ikulu wauziwe tu make sioni maana yake ndani ya nchi hii, siasa kila sehemu et darasa la saba aliyekimbia shule ndiye mwenyekiti wa kamati ya elimu katika baraza la council na bungeni duuh!!
 
Hivi one ya form four ina nguvu kuliko taaluma ya fedha waliosoma viongozi? Yaani unahusudu one ya masomo ya sekondari badala ya taaluma.
Yani mwenye div 2/3 na PhD ya finance ni duni kuliko mwenye one ya form four asie na hio taaluma ya fedha.
 
Mh Kishimba kasema wafunzeni watoto wenu kukitafuta hela sio kutafuta elimu tu halafu unaenda kuajiliwa na waliotafuta hela.
Warabu wanajua kutafuta hela.
Mtoa mada kama div one ingekuwa ndio uwezo wa kutafuta hela basi bandari wangeuziwa wenye div one maana wana hela kakini hawezi kununua hata basi la Yutong.
 
Ndio maana anaongea pumba
 
acheni udwanzi nyie ni wazi nyie mnaopinga dp hamjijui
 
Ina bidii cv zao zishushwe hapa ili tujue aina ya viongozi tuliokuwa nao au tunao wachagua. Iran la kwanza mbunge awe graduate. Sasa sijui kama huko Kuna vyeti feki na kubebwa au kuiba mitihani
Waweke na matokeo kila somo
 
Hi nchi imeja wezi na matapeli hamna mtu atakae soma alafu aje kutumikia raia bila kupewa rushwa au kuiba, hatuwezi kuendesha vitu vyetu wenyewe tulusha shindwa kila sector inapwaya kwanini? Wizi kutokua waminifu acheni bandari iendeshwe na wstaalamu serikale ipate faifa
 
Hivi one ya form four ina nguvu kuliko taaluma ya fedha waliosoma viongozi? Yaani unahusudu one ya masomo ya sekondari badala ya taaluma.
Yani mwenye div 2/3 na PhD ya finance ni duni kuliko mwenye one ya form four asie na hio taaluma ya fedha.
Elimu zingine rahisi sana huku. Ukifeli we fala. Kitu form four ndio cheyewe. Una utoto kichwani kubarehe na kila kitu kipya. Ukivuka na matokeo mazuri. Huwezi kuingia mkataba huu
 
Labda mwizi mwenye division ataiba kiakili si kwa kuuza bandari
 
Mzee wa "kwa masilahi mapana" kalipuka mapema, inaonekana kapu kaishia kuliona tuuu, lilikopelekwa hajui, kama lipo lakini.. 🔥
Kapu kuuza nchi ni uzwazwa Kuna vitu vya kuuza si Bandari. Mwendawazimu pekee ndio anaweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…