ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Well, Inategemea Nani anakuongoza Simba au Swala?Mimi siamini kama nchi imeshindwa kuendesha bandari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well, Inategemea Nani anakuongoza Simba au Swala?Mimi siamini kama nchi imeshindwa kuendesha bandari
Fanya tafsiri kwa lugha unayoielewa.Mwingi upi sasa
Kimataifa amesuruhisha migogoro wa urusi na Ukraine?Fanya tafsiri kwa lugha unayoielewa.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Well, Inategemea Nani anakuongoza Simba au Swala?
Nipe sababu kwanini tutoe bandari
Kimataifa amesuruhisha migogoro wa urusi na Ukraine?
Mwingi upi ameipga Iraq na kuwanyang'anya mafuta. Mwingi upi?Urusi na Ukraine kuna mgogoro upi?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
🤣🤣Lazima utakua muhaya wewe!
Na wao wakapigwa Afghanistan.Mwingi upi ameipga Iraq na kuwanyang'anya mafuta. Mwingi upi?
Mkuu elimu ya zamani ukiwa na Div One form four basi uko vizuri upstairs na huu ni ukweli. Maana mbio za ushindi huo huanza mtu akiwa form one consistently anapiga maksi A hadi mtihani wa taifa. Na akili hiyo huhamia kwenye maisha ya kawaida na uchambuzi wa issue mbalimbali. Hata kazini wenye div one utawaona tu huwa hawakurupuki wakiongea kuwapinga inahitaji kazi kubwa Huwa wamefikiria kabla ya kusema na huongea kwa hoja nzito.Watu weusi mnamatatizo hizo one za kukariri kiima na kiarifu na colonial economy zinaweza badilisha Nini Katika matokeo?
Kumbe kilaza. What is INa wao wakapigwa Afghanistan.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kumbe wale wale what is irabu exprain in example.Na wao wakapigwa Afghanistan.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Hata Sasa hivi Sema Sasa hivi si mwenye form form ana akili but mwenye division one na A zote ndio mwenye uwezo.Mkuu elimu ya zamani ukiwa na Div One form four basi uko vizuri upstairs na huu ni ukweli. Maana mbio za ushindi huo huanza mtu akiwa form one consistently anapiga maksi A hadi mtihani wa taifa. Na akili hiyo huhamia kwenye maisha ya kawaida na uchambuzi wa issue mbalimbali. Hata kazini wenye div one utawaona tu huwa hawakurupuki wakiongea kuwapinga inahitaji kazi kubwa Huwa wamefikiria kabla ya kusema na huongea kwa hoja nzito.
Tukitafuta wabunge wenye div one tutahangaika sana wengi mjengoni ni vilaza na ndio watunga sera zinazoididimiza nchi ya Tanzania kwenye umaskini. Huu ni ukweli mchungu!
DP World ni wanyonyaji kama kina Carl Peters na Seyyid Said, hatuwataki Bara waende Zenji. Magu asingekubali ujinga wa grade one kama huu. Kama ni lazima kuwa na DP World nashauri mkataba ufumuliwe uwe na vifungu vya kutanguliza maslahi ya nchi mbele. Kama Mkataba ni mzuri mbona Zenji hawamo? Bora hata mchina au mzungu kuliko waarabu, hawa jamaa ni wabaguzi namba moja duniani na hata watumwa waliwahasi!
Sijuwi.Kumbe kilaza. What is I
Kumbe wale wale what is irabu exprain in example.
Wale wale tumewapa ila Sasa tuwajaribu vipanga kuendesha nchi wakishindwa ndio tujue elimu haitajiki kwenye uongoziSijuwi.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
.Hiyo njemba inajua mipasho tu.... Hamna kitu humo.... Hovyo kabisa..... Kati ya watu ambao huwa natamani ghalika ikitokea ianze nae tu....
Hehe hamna kitu hapa
Chini wapo Zaidi ya Bilioni 1 na Dp world Kapewa Bandari kadhaa. India vile vile.Hapata Mimi siamini kama watu million 60 wanashindwa kuendesha Bandari labda uwezo wa Hawa viongozi mdogo
Kila nchi wanalia na DP worldChini wapo Zaidi ya Bilioni 1 na Dp world Kapewa Bandari kadhaa. India vile vile.
Hakune mwenye elimu ya kusimamia bandari nchii elimu mlizonazo hata kuuza maandazi mbashindwa hitakuwa bandariHapata Mimi siamini kama watu million 60 wanashindwa kuendesha Bandari labda uwezo wa Hawa viongozi mdogo
Mtanzania kazi yake wizi tuMimi siamini kama nchi imeshindwa kuendesha bandari