Kila anayeshabikia mkataba huu hana hata division one ndiyo maana hatuelewani

Tatizo elimu ya Tanzania ni ndefu sana yani hadi umemaliza masomo na akili nayo imechoka.

Hatutengenezi wavumbuzi ila tunategemea wavumbuzi....
 
Atapata kwenye hizi tunazopata badala ya kuingiza pesa serikalini zinaenda DP world. Kama Uingereza Walijenga Bandari kwanini wasingechukuap
Hebu nikumbushe kidogo, ni mwaka upi nyerere aliwanyang'anya wazungu mgodi wa Williamson diamond ili waiendeshe wao kama serikali na ikawashinda kuiendesha mpaka wakaurudisha kwa mzungu!!
Nyerere Hakuamini sana kuhusu elimu
 
Tatizo elimu ya Tanzania ni ndefu sana yani hadi umemaliza masomo na akili nayo imechoka.

Hatutengenezi wavumbuzi ila tunategemea wavumbuzi....
I atakuwa kuongezwa zaidi helimu haipunguzwi
 
Mtanzania kazi yake wizi tu
Hapa umesema ukweli mkuu, chukua Pepsi ya baridi kiongozi! Yaani ukiona mtz hajaiba Ina maana bado hajapata chance!

Nimeanzisha miradi mingi sehemu tofauti nikawapa marafiki, ndugu na hata majirani kote wameiba mno na miradi imekufa najipanga niingie mwenyewe mzigoni nina mradi mpya siweki mtu!
 
Hapana tumewapa nafasi wenye elimu ya kuungaunga tumeona hebu tuwape vipanga na wenyewe tuone ndio uje hapa tuongee
Aliyeingia mkataba na DP World kuanzia hatua ya mwanzo kabisa ni mwanasheria mwenye masters ya international law ya pale Kiev Ukraine akisaidiana na Dr Possi mtaalam mwingine wa sheria za kimataifa.

Punguza kujidharau kaka Pascal, nchi imesomesha sana tangu sitini moja.
 
Ni kweli kabisa hawa ni wale maziwa mdomoni, watoto wanaozaliwa na sehemu ya kwanza kupelekwa na wazazi wao ni pale Mlimani City kununuliwa smartphone ya kisasa.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ hata wangekuwa na phds msomi wa bongo Fara tu mbele ya darasa la saba za akina msukuma na akina mwakajoka
 
Yaani huu mkata
Kumbuka degree ya Kwanza Tanzania ni degree ya sheria. Hapa tuna wanasheria bobezi kabisa. Shule kuu za sheria, majaji na watu kadhaa akafatwa mtu kasoma Ukraine. Wale wajinga wameamua kusambaratisha nchi yao kwa kupiga na mtu mwenye nguvu kabisa. Wale wapumbavu ukaraine ni watumwa wa akili. Mexico au Canada Haiwezi kupigana Marekani. Japan ilikiona cha mtema kuni.
 
Badili mada ili usiendelee kuwa kichekesho kwa kujitambulisha kama msomi.

Huyo Mbarawa waziri wa uchukuzi na mawasiliano alisomea Ukraine. Mohamed Shein rais wa awamu ya saba wa Zanzibar alisomea Russia.
 
Atapata kwenye hizi tunazopata badala ya kuingiza pesa serikalini zinaenda DP world. Kama Uingereza Walijenga Bandari kwanini wasingechukuap
Charging za bandari sio kubwa kama import Duty, Vat na zinazoingia serikalini. Hivyo Serikali in short term itapoteza 5-10% ila long term itapata zaidi ya asilimia 300% ya inachopata sasa.

Wakati Dp world wanaingia Senegal 2008 Bandari yao Capacity ilikua 265,000 TEU na mpaka kufikia 2023 Capacity imeongezeka hadi 738,000 TEU

According to Mbarawa Bandari yetu inaingiza Tani Milioni 18 na projection ya Dp world ni Tani Milioni 47 mpaka kufikia 2033 miaka kumi ijayo, ongezeko la Asilimia 158,

Dp world uhakika 99% nakuhakikishia wataongeza pato la Taifa, hii ni proven kwa nchi zote walizokwenda atleast za Ki Africa nilizozisoma.

Mabaya ya hawa jamaa wala sio yanayotajwa humu, hawa ni watu wa logistics tu, wengi watakaoathirika na hawa jamaa ni wanaodeal na usafiri.
 
Badili mada ili usiendelee kuwa kichekesho kwa kujitambulisha kama msomi.

Huyo Mbarawa waziri wa uchukuzi na mawasiliano alisomea Ukraine. Mohamed Shein rais wa awamu ya saba wa Zanzibar alisomea Russia.
Wamefanyia nini hii nchi? Kuna Rais kasoma hapa hapa katuachia Mada raja yenye ubora kabisa kuliko Sasa hivi. Hawana cha kuonyesha
 
we umelewa asubuhi.
 
Hapata Mimi siamini kama watu million 60 wanashindwa kuendesha Bandari labda uwezo wa Hawa viongozi mdogo
Watu milioni 60 wanawekwa bandarini? Marekani ina watu wangapi, hujasikia hao DP World wako na kule Marekani? Hujasikia Marekani ndio anongoza uchumi wa dunia? Kwa huyo sasa DP World yupo. Tumia akili hata km ni ndogo kufikiri
 
Mechanism ya kupata ni ipi mbona hakuna kiashiria cha mapato kuongezeka. Je wanabomoa na kujenga Bandari kubwa kabisa Duniani? Wanatangaza vyombo vya habari kuvutia Meli zije Dar es salaam port. Mnatupa matumaini wataleta hela kivipi au wanakuja na Uchawi upi kuongeza mpato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…