Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Adumu katika Maombi Mwenyezi Mungu azidi kumsimamia roho mtakatifu azidi kumuongoza hakuna kinachoshindikana katika mikono yake kama aliweza kumbadili SAULI na kuwa PAUL hope Mungu azidi kumkumbatia katika mbawa zake
 
Dunian tunachezeana akil sana ni vile atujui tu.. huyu mtu akuna kizaz cha 2000 kwa watoto wa kike na kiume wasio mjua leo kaonekana malaika kurud malangon kwa Bwana lakn kwa uwezo wangu mdogo wa kufkr hil n tatzo kwa vijana wetu wasioweza kuchanganua mambo wataona n rahis kufanya madhambi na kupokelewa kundini wakat tayar utakua ushaharbika, hiz n mission za ki magharbi kuonyesha ushoga n ktu cha kawaida katika jamii hata kiroho ndio mana kuna makanisa ulaya yanafungisha ndoa madume na watu wanashangilia na kuona ni jambo la kawaida sasa wameanza kuwarudisha kwenye malango ya iman kwakua tunamapokeo ya bila kutafakar tutaona n sahihi kumbe tunapandikiza kirusi kwenye mentality za watoto vjana hata wazaz pia kwa kufanyia brain wash kua kila ktu knawezekana kumbe tunaongeza number za mashoga kwenye jamii bila kujua
Nakupinga.
Angepokelewa bado shoga ungeweza kusema hivyo.
Kaokoka kabadili hadi mavazi na kuongea.

Una maana mchawi akiokoka akasema kaacha uchawi inakua ni ku promote uchawi.
Hujapendezwa wewe kuwa kuna shoga kaacha ushoga period!
 
Dah hapo juu huyo shoga mwenyewe ni yupi kati ya hao wawili?
 
Adumu katika Maombi Mwenyezi Mungu azidi kumsimamia roho mtakatifu azidi kumuongoza hakuna kinachoshindikana katika mikono yake kama aliweza kumbadili SAULI na kuwa PAUL hope Mungu azidi kumkumbatia katika mbawa zake
Amen.
 
Hakuna linaloshindikana chini ya jua . Wapo mashoga kadhaa nawafahamu wameoa na wana watoto wengine huendelea na wengine huacha inategemea na watu unaofatana nao.
Hii uzi imejaa mashoga wengi na wana ishu za kisaikolojia nilijua kabisa comments za kukatisha tamaa zitakua nyingi kuliko za kutia moyo.Inawaumiza wakiona wenzao wanafanikiwa kutoka.
 
Wenye imani na nguvu ya kumuombea wafanye hivyo, hakuna kitu kigumu kama kuishinda tamaa ya mwili, angalia tu sisi wala mbususu.. ngumu sana ku-abstain!
mshamba_hachekwi kafurahishwa kweli na hii comment yako kakugongea hadi 😂

Anywqyz kwa sasa tamaa ya mwili zikimjia si atatafuna mbususu!?

Umejiuaje kuwa ni ngumu kutoka?

Uanamme wa mtu uko kichwani hivyo kama yuko sawa kiakili genye zikija atawaza K na sio b
 
Hivi hatuwezi kutafuta matibabu yake kama taifa? Ili mtu akiacha asirudi tea huko
Inawezekana.
Ni kundi la magonjwa ya akili.
Nguvu ikiwekezwa inawezekana kabisa.
Ushoga hauishi kwa kuwatukana,kuwaua ,kuwapiga au kuwatukana.

Mfano mzuri,jaribu kuwatukana mashoga wa JF ukitegemea wataacha.Utachoka wewe.Hata ukeshe unawatukana hawataacha.
Why kichaa akila mavi ukamtukana hataacha kula mavi sbb hajui yeye ni kichaa na anachofanya sio sawa bali kuna namna nyingine sahihi za kumsaidiq akaacha.
 
Mh Taifa lina mengi ya kufanya bwana sio kutafuta matibabu ya mashoga.
Sio lazima serikali mwakani kuna NGO inakuja kuondoa huu upepo mbaya unaoendelea ktk jamii yetu.Lazima tufanye kitu la sivyo 5 yrs to come kila nyumba itakua na mnuka mavi hapa tz.Something must be done!
 
Back
Top Bottom