Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ataweza kupeleka moto kweli 🔥 sidhani mwenyezi Mungu amsaidie Sanaa..Nipo tayari Aggrey anioe tena bila mahari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataweza kupeleka moto kweli 🔥 sidhani mwenyezi Mungu amsaidie Sanaa..Nipo tayari Aggrey anioe tena bila mahari.
Nikimleta umtibie hatopona?Ataweza kupeleka moto kweli 🔥 sidhani mwenyezi Mungu amsaidie Sanaa..
Ingekuwa ni msagaji nisingekuwa na mashaka sababu ni rahisi kwa msagaji kubadili life yake na kuachana na utoto.
But kwa mwanaume ambaye ameshakuwa molested na kuwa penetrated ni ngumu sana kusimama tena kama mwanaume kamili tena hata iweje.
Kuna vitu hawezi tena kufanya mfano,hawezi kuwa baba wa familia kwasababu history yake itakuja kumhukumu kwa mkewe na watoto wake so hataweza kuwa kichwa cha familia especially nyakati ngumu za kufanya maamuzi ya kiume. Imagine mkewe akimwambia mwanaume utakuwa wewe nenda ukafanywe huko na vidume wa kweli.
Ni ngumu sana kuweza kulea watoto kwa maana ya kuwa baba kiongozi kwao especially wakisha jua historia yake.
Kujichanganya na wanajamii kama mwanajamii wa kawaida bila aibu au fedheha ya kunyooshewa vidole kutokana na historia yake.
Angalia huyu mwanamme alojipa jina la kike vile kafurahia hii comment ya kukatisha tamaa hadi kairudia mara 2🤔🤔Wewe mzee😂Kwamba petrol ukipitisha karibu na moto mlipuko
Wow😀😀Mungu ampe kushinda majaribu
😀😀😀😀Mungu ni mwema, namuombea pia asirudi kule utumwani.
Ni mwanaume safi kabisa, ajitahidi azibe masikio asisikie ya wale alioanguka nao dhambini, ya wale wanaoamini lazima atarudi dhambini tena. Amuombe Mungu amuwekee malaika wake walinzi wamlinde na adui na watesi wanaotaka kumrudisha kundini kwa ahadi chungu nzima.
Kila la kheri kwake.
Wengi wamesha lielezea hili Jambo humu Jf itoshe kusema ni ngumu Sanaa kuponaa ni ngumu.Nikimleta umtibie hatopona?
Ngumu kupona kwenye kusimamisha au kwenye kuacha hiyo tabia?Wengi wamesha lielezea hili Jambo humu Jf itoshe kusema ni ngumu Sanaa kuponaa ni ngumu.
Sasa faiza foxy wanini hapo..100 others
Vincenzo Jr
FaizaFoxy
Tundazuri
Poor Brain
Extrovert
PSL god
mzabzab
Guin
@mahamba_hachekwi
Kwa udadisi haujambo EEE 😊☺️ vyote viwili Ila lakuacha MUNGU anaweza kukubadilisha..Ngumu kupona kwenye kusimamisha au kwenye kuacha hiyo tabia?
Asante kwa maelezo.Kwa udadisi haujambo EEE 😊☺️ vyote viwili Ila lakuacha MUNGU anaweza kukubadilisha..
Ukiharibu mifumo ya kusimamisha inaweza tibiwa ikasimama Ila ikawa Ina mis function & vice versa is True.
Upo powa unaendeleajee wewe nakumbuka kipindi kile mnagawa vocha za sandakalawe😊☺️Asante kwa maelezo.
Mimi huyo nigawe vocha!😂 nilikua lile kundi la kusubiri vocha za bureUpo powa unaendeleajee wewe nakumbuka kipindi kile mnagawa vocha za sandakalawe😊☺️