Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

Kila kitu huvutia kinapokuwa katika asili yake

All you wrote is wrong and you know it kwa hiyo sitapoteza nguvu kukuelewesha kuwa ni kwanini ulichosema hata wewe hukiamini ila kwa sbb unazozijua wewe unatamani iwe hivyo
Ingekuwa ni msagaji nisingekuwa na mashaka sababu ni rahisi kwa msagaji kubadili life yake na kuachana na utoto.

But kwa mwanaume ambaye ameshakuwa molested na kuwa penetrated ni ngumu sana kusimama tena kama mwanaume kamili tena hata iweje.

Kuna vitu hawezi tena kufanya mfano,hawezi kuwa baba wa familia kwasababu history yake itakuja kumhukumu kwa mkewe na watoto wake so hataweza kuwa kichwa cha familia especially nyakati ngumu za kufanya maamuzi ya kiume. Imagine mkewe akimwambia mwanaume utakuwa wewe nenda ukafanywe huko na vidume wa kweli.

Ni ngumu sana kuweza kulea watoto kwa maana ya kuwa baba kiongozi kwao especially wakisha jua historia yake.

Kujichanganya na wanajamii kama mwanajamii wa kawaida bila aibu au fedheha ya kunyooshewa vidole kutokana na historia yake.
 
Wewe mzee😂Kwamba petrol ukipitisha karibu na moto mlipuko
Angalia huyu mwanamme alojipa jina la kike vile kafurahia hii comment ya kukatisha tamaa hadi kairudia mara 2🤔🤔
images (1).jpg
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mungu ni mwema, namuombea pia asirudi kule utumwani.

Ni mwanaume safi kabisa, ajitahidi azibe masikio asisikie ya wale alioanguka nao dhambini, ya wale wanaoamini lazima atarudi dhambini tena. Amuombe Mungu amuwekee malaika wake walinzi wamlinde na adui na watesi wanaotaka kumrudisha kundini kwa ahadi chungu nzima.

Kila la kheri kwake.
😀😀😀😀
 
Kuna vitu Mungu huviacha vitokee kwaajili ya utukufu wake na funzo kwa watu wake tusiache kuombeana
 
Isijekuwa kuna mchungaji kaamua kujisogezea huduma
 
Watafiti wanasema kwamba tatizo hutatuliwa kwa hatua/stages.

Yaani mfano mlevi hawezi kuacha pombe ghafra kwasababu tu eti zinamletea athari fulani. Ina maana huyu mlevi akitaka kuacha kabisa pombe kuna hatua lazima apitie.

kama alikuwa anatumia chupa za bia tano kwa siku atalazimika kutumia nne kwa wiki kila siku halafu tatu kwa miezi kadhaa kila siku halafu mbili,hivyo hivyo ndyo kuacha kwenyewe kunaanza.

Sasa kama ameacha hayo mambo kwasababu ya misukosuko aliyonayo ina maana ameacha ghafra na hakuna kitu kinaachwa ghafra lazima itamsumbua. Anapaswa kupata na wataalamu wamsaidie namna ya kuacha kabisa.
 
Ngumu kupona kwenye kusimamisha au kwenye kuacha hiyo tabia?
Kwa udadisi haujambo EEE 😊☺️ vyote viwili Ila lakuacha MUNGU anaweza kukubadilisha..

Ukiharibu mifumo ya kusimamisha inaweza tibiwa ikasimama Ila ikawa Ina mis function & vice versa is True.
 
Back
Top Bottom