kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Amina.Mungu amsaidie.
Mh Taifa lina mengi ya kufanya bwana sio kutafuta matibabu ya mashoga.Hivi hatuwezi kutafuta matibabu yake kama taifa? Ili mtu akiacha asirudi tea huko
Nakupinga.Dunian tunachezeana akil sana ni vile atujui tu.. huyu mtu akuna kizaz cha 2000 kwa watoto wa kike na kiume wasio mjua leo kaonekana malaika kurud malangon kwa Bwana lakn kwa uwezo wangu mdogo wa kufkr hil n tatzo kwa vijana wetu wasioweza kuchanganua mambo wataona n rahis kufanya madhambi na kupokelewa kundini wakat tayar utakua ushaharbika, hiz n mission za ki magharbi kuonyesha ushoga n ktu cha kawaida katika jamii hata kiroho ndio mana kuna makanisa ulaya yanafungisha ndoa madume na watu wanashangilia na kuona ni jambo la kawaida sasa wameanza kuwarudisha kwenye malango ya iman kwakua tunamapokeo ya bila kutafakar tutaona n sahihi kumbe tunapandikiza kirusi kwenye mentality za watoto vjana hata wazaz pia kwa kufanyia brain wash kua kila ktu knawezekana kumbe tunaongeza number za mashoga kwenye jamii bila kujua
Hayo mahangaiko na mateso kakuachieni nyie kina Tundazuri mtapetape huku JF kutafuta wa kuwafanyia hayo.Kuna muda atatamani hogo lizame kwenye kinyeo..... anaitupa biblia pembenii anaanza kushughulika kama mtoto wa kike aliyefundwa na akafundika.
Cc: Poor Brain Extrovert secretarybird
Amen.Adumu katika Maombi Mwenyezi Mungu azidi kumsimamia roho mtakatifu azidi kumuongoza hakuna kinachoshindikana katika mikono yake kama aliweza kumbadili SAULI na kuwa PAUL hope Mungu azidi kumkumbatia katika mbawa zake
Hii uzi imejaa mashoga wengi na wana ishu za kisaikolojia nilijua kabisa comments za kukatisha tamaa zitakua nyingi kuliko za kutia moyo.Inawaumiza wakiona wenzao wanafanikiwa kutoka.Hakuna linaloshindikana chini ya jua . Wapo mashoga kadhaa nawafahamu wameoa na wana watoto wengine huendelea na wengine huacha inategemea na watu unaofatana nao.
Kutoka dini gani kwenda dini gani na wewe?Umeslimu lini?
Sasa kuanza kama mwanaume now mwanamke kuna tatizo gani?Kutoka dini gani kwenda dini gani na wewe?
Halafu wewe si ulianzaga kama mwanaume wewe halafu ghafla ukawa binti?🤭🤭🤭
mshamba_hachekwi kafurahishwa kweli na hii comment yako kakugongea hadi 😂Wenye imani na nguvu ya kumuombea wafanye hivyo, hakuna kitu kigumu kama kuishinda tamaa ya mwili, angalia tu sisi wala mbususu.. ngumu sana ku-abstain!
Yameisha mama/baba.Sasa kuanza kama mwanaume now mwanamke kuna tatizo gani?
Wewe mzee😂Kwamba petrol ukipitisha karibu na moto mlipukoAkiwashwa atatamani kukunwa na shida itaanzia hapo! Tumuombee sana
Akivutishwa bhangi vizuri atakaa sawaAkiwashwa atatamani kukunwa na shida itaanzia hapo! Tumuombee sana
Inawezekana.Hivi hatuwezi kutafuta matibabu yake kama taifa? Ili mtu akiacha asirudi tea huko
Sawa stEPHENWewe si muislam lialia
Sio lazima serikali mwakani kuna NGO inakuja kuondoa huu upepo mbaya unaoendelea ktk jamii yetu.Lazima tufanye kitu la sivyo 5 yrs to come kila nyumba itakua na mnuka mavi hapa tz.Something must be done!Mh Taifa lina mengi ya kufanya bwana sio kutafuta matibabu ya mashoga.
Comment yako inatia mashaka.Mh Taifa lina mengi ya kufanya bwana sio kutafuta matibabu ya mashoga.