Hakuna loloteKila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.
Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Mbona kama umekata tamaa mkuu? Usiwaze hayo, bado kesho yenye neema ipo inatusubiri.Wacha taifa liangamie tukose wote kudadeki
Mchimba kaburi huingia mwenyewe.Vita hii ni ya Bwana!! Kwenye ulimwengu wa Giza kuna hasira Kali. Kuna kitu Rais Magufuli alikiamua na watu hawakizungumzii moja kwa moja lakini ndiyo chimbuko LA hasira japo baadhi ya waliokasirika sana hata hawajui kwa nini wana hasira kubwa hivyo. Kitu chenyewe ni kutokufungwa kwa nyumba za ibada!! Hapa Tanzania tumemheshimu sana Mungu na tumemtanguliza Mungu mbele kuliko mikakati mingine yote!! Watu wanakejeli!! Watu wanabeza!! Lakini nikwambie hao wote wanaobeza kuna siku watatafuta mahali pa kuficha nyuso zao!! Mungu atailinda Tanzania kwa dhahiri kama alivyiheshimika kwa dhahiri!!
Nani atabaki kushuhudia huo uwepo wa TANZANIA na sote tutakuwa tumeshapita?Sote tutapita. Tanzania itabaki. Tukumbuke hilo [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Anawakosea heshima wakubwa zake hahahaahhahaha mtu kajiunga juzi,njaa banaDogo! Huyu ni senior Lumumba buk 7, ameishaona ukweli
Huyo ni wa kumui ignore tu unakua hauoni pumba zake ana pumba nyingi sijui bado mwanafunziKila mtu humu alishakuona kituko,kichwa wazi na limbukeni,hivyo pumzisha ujinga kidogo
Mungu afanyi kama ww unavyosema mkuu, kwani kuweka wazi ili watu wajue wanaombea nn ni kosa ? mbona mnafanya mambo ya Mungu kama michezo ya kubahatisha ? ili lolote baya likitokea basii ubebe bango ooooh tulisema watu waombe, sasa tunaombea nn mtumishi ?Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Amen
You dont have to comment everything bobUsidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu
Nchi ipo shwari
Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
daaaah mkuu unahitaji kuongezewaa nyota mkuu busara zako nimezielewa sanaaMkuu karibu kila uzi wako ni tusali, wewe hufai kuongoza kikosi kwenda kwenye uwanja wa vita utawakatisha askari morali na kuwatiwa uwoga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Usidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu
Nchi ipo shwari
Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Amen
Mnakumbuka uzi wake alioutuma kipindi kile mkulu alipozushiwa kama ka..?Mkuu karibu kila uzi wako ni tusali, wewe hufai kuongoza kikosi kwenda kwenye uwanja wa vita utawakatisha askari morali na kuwatiwa uwoga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Amen