Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko


Mkuu bwana kwenye vita vyake hahitaji sanitizer, kunawa nawa mikono na maji tiririka wala barakoa.

Bwana hahitaji kufunga mashule.

Kukataa kufuata mbinu wanazo fuata wenzetu na kuudhibiti huu ugonjwa chini ya WHO na kumsingizia bwana, huko ni kumjaribu bwana Mungu wako.

Pana "Ole" ya wazi kwa wamjaribuo bwana Mungu wao.
 

Kujilisha upepo tu. Aiombee mabaya Tanzania nani? Kwa lipi?

Kwa kufuka nyungu?

Kwa umaarufu upi maskini hohehahe sisi?
 
Mbona vitu hivyo vinasemwa kila siku na vipeperushi vimetolewa na serikali hii hii unayo dai hajui sanitizer n.k .
Au wewe ni kigalula na kuunga mkono huo utabiri
 
Mungu Baba wa Isaka,Ibrahim na Yakobo akubariki sana mkuu 1000 digits.
Usiwe kimya sana mkuu,kuwa na tabia ya kutukumbusha mara kwa mara kama hivi,huenda tukaziacha njia zetu mbaya na kutubu kweli na kumrudia Mungu.
 
Usidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu

Nchi ipo shwari

Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
Kweli nimeona huko mpakani Chadema wanawazuia Madereva wa Tanzania kuingia Mombasa ,,wakati Madereva wa Mombasa wanaruhusiwa kuingia Tanga
 
Ushauri mzuri sana
Hayo mavyama ni investment za watu. wanapiga hela kinoma
 
Chukua tahadhari ugonjwa huu ni hatari, acha kumjaribu MUNGU, alikupa akiri na maarifa acha kumjaribu MUNGU kwa kigezo cha ulokole, kumbuka walokole wote ni mataperi wa kutupwa akina gwajima, lusekelo mwamposha, hao wasikutaperi Chukua hatua acha kumjaribu MUNGU tumia akiri na ufaham aliokupa MUNGU, pia tumia mbinu za kisayansi acha kujitekenya, jitahid kuokoa taifa na watu wake, had sasa kuna wachungaji na mashehe zaid ya kumi wamepoteza maisha, Kama wewe, na Mimi na Yule na wao tungeungana kwa pamoja na kutumia mbinu za kisayansi pengine tungewaokoa wachungaji wetu na mashehe wetu, narudia acha kumjaribu MUNGU Chukua hatua na tahadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu wa namna hii uwe unafanywa mpango wanakamatwa halafu wanahojiwa vizuri. Halafu anaonekana ni layman tu, hana ujanja wowote hivyo hawezi kusumbua namna ya kumpata alipo wenye mamlaka yao wakimhitaji
 
Ukiumwa KOLONA🐑 ucende kutafuta dawa jifungie chumbani kwa mumeo uombe mungu tu utapona🐵🐵🐵
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…