Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko


Mkuu 1000 digits,
Unastahili uanzishe Kanisa.
Nimependa ulivotiririka.....saafi Sana.
Kuna watu hasa Magufuli na CCM yake wanafikri Mungu ni wa kuchezeachezea kwa maombi ya kinafiki ilhali wamejaa dhambi za UUAJI, UONEVU, UBAGUZI na UDIKTETA. Bila Toba ya kweli kwa Rais Magufuli na CCM yake Mungu hatasikia maombi hata kidogo!
Kutubu ni kumgeukia Mungu na kuacha Maovu. Amina.
 

Rais Magufuli na genge lake la ukandamizaji wanajidanganya kwa kutaka kuficha Data za Covid-19!

Kwa Teknolojia ambayo imefikiwa na dunia ni upuuzi kudanganya watu. Kwa kutumia GOOGLE Search engine dunia imeweza kugundua kwamba TANZANIA NI YA 2 KATIKA KUTAKA KUJUA TATIZO LA INSOMNIA(Hali ya kupoteza uwezo wa Kunusa) ambayo kwa Sasa inachukuliwa kama moja ya DALILI KUU ZA COVID-19!!
Kila siku kuanzia 7 May kuna watu 135 kwa wastani wanaoingia kwenye Google search engine kupata maelezo ya mtu kukosa Uwezo wake wa kunusa..,.!!!
 
Watanzania watakufa sana na covid,,,mikusanyiko kwa wamachinga, minadani, vilabu, stand za mabasi na mabar,,,watu hawavai barakoa wala kuosha mikono,,,,na serikl ye2 ipo kimya,,,,inasikitisha sana sana, mtashuhudia vifo ving sana
 
Super...

Hivi ni hakika Ben kafa?

Yupo downtown.. ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumainiel alituambia kwamba alipelekwa kigamboni kwenye kisiwa kimoja huko akamezeshwa chatu Yani chatu akammeza na wavuvi waliona kipande Cha shati chenye damu lililosadikika ni lake Sasa haya ni maelezo ya huyuhuyu mwenye Uzi huu na uzi up humu wakati anamtahadharisha alimwambia sema Ben sema ila Kuna siku utajikuta peke yako hutasema Tena.
 

It's obvious !!! But hope we shall overcome whatever is going to happen.
 
Mmh... ... tule Milo super...

Nitag ukiweza tafadhali Mkuu...


Lakini..... ..inua uso super...Down..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hii vita tumeshaishinda, watu wanahasira sana hadi nikawa nawauliza shida ni nini? Unakuta hadi mtu akifa wanakuwa kama wanashangilia, nawauliza kulikoni shamra shamra juu ya kifo cha mtu, nikaishia kuhisicitakuwa ni roho mbaya kama za kichawi hivi zinawasumbua
 
Usidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu
Nchi ipo shwari
Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
Soma comment ya mtoa mada alipokuwa anamjibu ndg/late Ben mwaka 2016...👇

"
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati...
Take care this is a nation kaa mbali"
 
Kuna kimondo kinashuka kwa kasi, kinaikaribia dunia
 
Asante mkuu todays
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…