Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

You cross the bridge when you reach it. Unawataka watu wasali, kwa jambo ambalo ni la 'huenda kukatokea'. Kesho utakuja na hadithi ya nguvu ya maombi, na Bw Yesu asifiwe kibao.
 
Mbowe kujeruiwa Dodoma, huyu mtoa post anatisha. Labda na mengine yanasubiri muda tu
 
More people copy this like never before na kubadilisha kichwa cha habari
 
Usidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu

Nchi ipo shwari

Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya

Kweli nchi ipo shwari. Bia yetu huko uliko, unakumbukwa.
 
Huyu bwana alipotea mazima.

Bia yetu, ungalipo?

Maana wengine kwa kutumia huu uzi:

Buriani

tulisha aga na hata tukipotea itakuwa ndiyo hivyo tena.
Kama unatenda mema kwann uogope kifo,
Japo watu waovu uchelewa kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…