James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Hapo kwa magufuli umekoseaNimegundua viongozi wengi wa Nchi za Kiafrika nia yao kubwa ni kujinufaisha wao na familia zao tu na si kuwasaidia kuwanufaisha Wananchi wao.
Wachache mno ndio wanaojitoa kwa dhati kwaajili ya Wananchi.(JK Nyerere na JP Magufuli)
Nimegundua wewe ni fake certificate.Hapo kwa magufuli umekosea
😂😂😂Ukinywa pombe na maziwa fresh unaweza kufa😁
Rula ya sentimita 30 inayotumiwa na wanafunzi wengi ni ndefu kuliko ndoo ndogo ya maji
Hizi combo niliambiwa ni hatari ukila ni kifo;True. Pombe na maziwa hatari. Usije jaribu. .
Ila jaman duh.... Sasa mtende umeingiajeeee hapooooooYesu Kristo na Issa bin mariamu ni watu wawili tofauti,mmoja alikuwa myahudi alizaliwa Bethlehem na Issa nialikuwa Mwarabu alizaliwa huko nchi za uarabuni chini ya mtende!
Nimegundua hujui kuandikaaaaaaaaanimegundua watu wamtandao huu niwabishi kinoma.halafu wanapenda ligi kweli.hata mods.ila nakomaa nao kibishitu