Kila mtu ana jambo lake ambalo anajua akilisema watu hawatamuamini

Yan picha linaanza siku tu anakufa serikali inatangaza ajira kwa under 45 wote 😅wenye 46 na kuendelea wanastaafishwa mara makutupora akishakufa kumbe😅
Si mtanifanyia maombi ya ufufuo au mtafanyaje 😂 ... Na msiponiombea nifufuke!

Ntatawatesa sana ntakuwa nawatokea usiku kuwatishaaaaa 😂
 
Yaani ufe bila kuni tafutia demu wa kitanga, we kumbe ni kenge maji 🤣😂
 
It might be! Mimi ni mtoto wa Kiroho wa much Kimaro! Na amenisomesha pia, ila namna Dunia inavyonipeleka

Mtu hawezi akaamini kuwa Nina kipawa Cha utumishi na nimetumika sana madhabahunii

Hivyo acha nikuamini ... Kesho Jumuiya wapi mwenyekiti?
Jumuiya tarehe 22/ palepale pa siku zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…