Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndy ukweli ndugu zangu 😅😅😂 Usiniambie
Mapenzi tu aah wamejaliwa wale watu jamani😍 yaani ukiwa naye hata huna stress sjui atakucheat hamna.Haya yote Extrovert aliyasema huko juu akimquote mtu Fulani.Wstu wafupi wanakuwa na love ya ukweli kutoka. Moyoni
Ila punguza ukali wa maneno,usituite andunje bana😄😄
TumezipokeaWanaume warefu popote mlipo nawasalimu[emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]Kina dada eti ni kweli?
Amina Amina Amina [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Tumezipokea
🙋Amina Amina Amina [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji4][emoji4][emoji137]
Huwa unatoaga nondo nzito sana mkuu,Yaani vijana kama mnaishi duniani kwa kutafuta kuwaridhisha na kuwafurahisha wanawake hakika mpo kwenye njia ya maangamizo......kwani historia inatanabaisha kuwa hakuna mwanaume aliyejaribu kumridhisha na kumfurahisha mwanamke na kubakia salama......tukianza na Samson na Farao ni ushahidi tosha..........
Usivuke mipaka ya utu wako na thamani kujaribu kumfurahisha mwanamke......
Word is enough for the wise...
Kizazi cha Seedco😂😂🙌Kitu kinachofurahisha ni kuwa hata sisi wanaUME warefu na sisi pia tunapenda wanawake wafupi. Sasa tukishazaa nao kizazi kinachokuja n cha wanaume wafupi pia. In 50 yrs hao warefu kupatikana itakua kwa mshale zaidi.
Yaan sijui nan katuloga, madem warefu huwaga wapole na wastaarabu sana, lakini hawa SEEDCO sasa, yaan pasua kichwa hatari!🤦🏽
Kwani kuna mtu kajiumba kuwa mfupi? Usiseme hivo mkuuAs a man unakuaje mfupi kama mtoto
Kwahyo mref hata akiwa hana hela atapiga tuuNadhani wenye hela sana ndio wanapendwa zaidi regardless wana maumbo ya aina gani!