Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hao lazima wana hela si unaona wana vitambiTafuta pesa ndugu watu wenye vitambi wafupi ndio wana wanawake wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao lazima wana hela si unaona wana vitambiTafuta pesa ndugu watu wenye vitambi wafupi ndio wana wanawake wengi
Sa we andunje mbona hujaoa hadi sasa?Sie wafupi tunapaga tabu sana lakini bwana uzuri hao warwfu sio waoaji wao ni kula mbususu za wanawake na kutuachie sie andunje andunje
🤣🤣🤣🤣 Na mie nataka mwanamke mrefu ila wao hawanitaki. Sii kama hivi unaona nambembeleza Kelsea lakini wapiSa we andunje mbona hujaoa hadi sasa?
☹☹dah iyo avat yako sijaielewaLeo hii kila mwanamke anasema hataki kuolewa na mwanaume mfupi, kila mwanamke anataka mwanaume mrefu na warefu ni wachache sana, sasa hao wanawake wataolewa na nani ikiwa wanaume warefu wanahesabika?
Mkuu hiyo ni kufuru ujue,kwani walipenda kuwa hivyo?As a man unakuaje mfupi kama mtoto
Mkuu wasikupasue kichwa hawa wadada ww piga kazi tafuta pesa... .......Leo hii kila mwanamke anasema hataki kuolewa na mwanaume mfupi, kila mwanamke anataka mwanaume mrefu na warefu ni wachache sana, sasa hao wanawake wataolewa na nani ikiwa wanaume warefu wanahesabika?
Leo hii kila mwanamke anasema hataki kuolewa na mwanaume mfupi, kila mwanamke anataka mwanaume mrefu na warefu ni wachache sana, sasa hao wanawake wataolewa na nani ikiwa wanaume warefu wanahesabika?
Mapigo ya Kelsea hayoTall dark handsome [emoji23][emoji23][emoji23]
Aah wap kuna andunje langu sema lilikua na hela...lipo kama mzabzab linapiga na kusepa 😂😂Wanawake ni delusional sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waendelee kujifaragua huko, ila waoaji ndio sisi maandunje.
Kino Fulani hivi cha Ray mshana wa wasafi FM[emoji28]Hahahahahah huenda labda ila hilo tatizo nahisi mie sina. Mi ni 5"4 ila sina hayo mambo ya kutojiamini.
Kha! Sikutegea hili jamani...yaani ulikubali kuliwa na anddunje kisa ana mihela😲😲😲😲Aah wap kuna andunje langu sema lilikua na hela...lipo kama mzabzab linapiga na kusepa 😂😂