Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Wapi nmesema hayo? Nilimpenda tu pamoja na ufupi wake. Afu wakat nakutana nae hata sikujua kama ana mihela.Kha! Sikutegea hili jamani...yaani ulikubali kuliwa na anddunje kisa ana mihela😲😲😲😲
We una ufupi gani? Kaone
Ah sasa unampendaje alafu hujampatia mbususu😂😂 Wapi nmesema hayo? Nilimpenda tu pamoja na ufupi wake. Afu wakat nakutana nae hata sikujua kama ana mihela.
😂😂 Umeanza...kumpenda mtu sio hadi apewe hayoAh sasa unampendaje alafu hujampatia mbususu
Kwani kuoa ndio kunafanya nisitake kuwa na wewe. Mbona tunaweza enjoy maisha vizuri kabisa bila kuoeana stressToka hapa, umesema ushaoa 😃
Mhm hayo mapenzi ni ya mama na mwanae....haya mengine ni lazima mpeane utamu wa asali😂😂 Umeanza...kumpenda mtu sio hadi apewe hayo
Kwani kuoa ndio kunafanya nisitake kuwa na wewe. Mbona tunaweza enjoy maisha vizuri kabisa bila kuoeana stress
🤪Mhm hayo mapenzi ni ya mama na mwanae....haya mengine ni lazima mpeane utamu wa asali
Mbona uside xhick ndio mzuri maana wala ubebeshwi mzigo, wee ni kula bata tuu hamna jingineNiwe side chick tena kwa kujua, hapana aisee
Unanisingizia ujue😂
Wee mm sikusingizii bana😅😅Unanisingizia ujue😂
Me mradi awe anapumua
Mimi na bro wangu Extrovert hatuchekaniWe una ufupi gani? Kaone
Sema nini andunje wanakuaga na real love kuliko wale tall dark n handsome.Wee mm sikusingizii bana😅😅
Kule selfika mnatuponda sn Sisi wanaume wenye vimo vya pimbi
Haya yote Extrovert aliyasema huko juu akimquote mtu Fulani.Wstu wafupi wanakuwa na love ya ukweli kutoka. MoyoniSema nini andunje wanakuaga na real love kuliko wale tall dark n handsome.
Ila mtafute hela bana atleast zinasaidia tuwaone warefu kiasi🤣🤣