suck Kweyamba anatory
Member
- Jul 18, 2022
- 8
- 7
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao hawana loloteee! Wanachotazama ni pesa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrefu sana ndio kuanzia mita ngapi?Kwahyo mref hata akiwa hana hela atapiga tuu
Nimepokea kwa heshima zote kwaniaba yao,barikiwa sana [emoji4]Wanaume wafupi, huwa Wana real love Sana...Popote walipo, heshima kwao.[emoji4]
Amen. Mungu aendelee kuwabariki.[emoji4]Nimepokea kwa heshima zote kwaniaba yao,barikiwa sana [emoji4]
Mungu akupe mapachaAmen. Mungu aendelee kuwabariki.[emoji4]
Mungu akupe mapachaAmen. Mungu aendelee kuwabariki.[emoji4]
Waoooooh ❤️Mungu akupe mapacha
😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Anazungumzia urefu gani ?
Me mrefu kote asee[emoji16]
Na nawapata kweli kweli
Tatizo siyo ufupi, tatizo ni uwe mfupi huna Hela,unajeuri na kisirani na kibri[emoji34][emoji119]
🤣🤸🚴🚴[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]yan ukipata wa hivo kuna muda unatamani umvute maskio
Urefu kwenda chiniMbona mm ni mrefu 6'3 ila kila nkitongoza wadada nakataliwa, Mm ni mweusi, nikitabasamu nina sura Na masikio kama ya obama, nakwama wapi? Huo urefu mnaosemea ni upi?
Ulivyosema 5.5' nimecheka sana maana nina hiyo height pia lakini nilishavuka hiyo step ya kujigrade mfupiMimi ni mfupi 5.5 naolewa na 5.5.
..[emoji15]natafuta nn kama siyo kuja kulaumiwa na wanangu Kwa kuzaliwa mojakimo[emoji849]
Yaan kumbe mi mrefu bhana🤸Ulivyosema 5.5' nimecheka sana maana nina hiyo height pia lakini nilishavuka hiyo step ya kujigrade mfupi
Ni kwasababu Hawana choice,Wanaume wafupi, huwa Wana real love Sana...Popote walipo, heshima kwao.[emoji4]
Wee sio mrefu bhanaMe ni mrefu 5.9 lakini napenda wanawake wafupi wanachangamsha sana
one love kwa manzi wafupi wote i love ya!