Wanawake malaya na wenye matatizo ya akili wamechukia sana Hakim kuwafumbua macho wanaume hasa ktk nyakat hizi ambazo wanawake wengi walio wapumbavu hukimbilia na kulazimisha kuolewa na wanaume wenye mali ili waje wagawane...
Wanaume wapumbavu na washamba ambao mali zao zote hawajazitafuta kwa jasho lao, yaan kama ni nyumba kajenga kwenye kiwanja cha mkewe, gari alimuomba mkewe akakope vicoba aongezee pesa, yaani kilakitu ameshea na mwanamke... Wanaume hawa ndio wanaponda wanaume wanaomsifia Hakim kwasabab wao tayar hawana wanachomilik kwa jasho lao...
Hii dunia sio ya kumuonyesha mkeo mali zako, wanawake wapo na wewe wanasubir ufe au wakuue au wavunje ndoa wadai mali zako mahakaman...
Sikuhiz dunia na sheria zipo wazi mali zako andikisha kisheria ukifa arithi watoto wako na ukiona kuna dalili ya ndoa yako kufa badirisha majina ya mali zako...
All in all KATAA NDOA UISHI KWA AMANI