Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

Yeah am week physically nalijua hilo sijakualia kwenye kazi ngumu japo kwenye gym nilikua na jitahidi sana kunyanyua vyuma....sasa hayo mazoezi ya Cadio ni yapi mkuu? Fafanua plz.
ruka kamba, kimbia ogelea ukipenda
 
How?
 
More
 
Najaribisha ushauri yako number 3 ntakupa matokeo baada ya siku 7 yaani wiki injao j5. Ningumu ila ebu nijitahidi mimi ni mwanaume hi tabia ya kuongezeka hivi siipendi vitoto vyangu bado vinanihitaji nikiwa na afya njema.....anyway athantee sanaa mkuu[emoji120][emoji120]
 
Funhga kama wanavyofanya wavaa kobaz,
 
Samahani sana Mkuu Wangu
Mi najuaga wewe ni Demu samahani sana Mkuu Wangu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bora kubet pesa ya mkopo mechi ya mwenzi ujao
 
Mimi hapa siyo mlaji sana ila nimetoka 65kg march 2021 sasa nipo 81kg. Nilikuwa nimeishafikia 86kg mwaka jana nikakata cabs kabisa. Nikawa natumia nyama na samaki, mboga za majani na maharagwe, daar na njegere. Ndo sasa nipo 81.

Shida niliyoambiwa na dr ni kwamba nile sana kidogo kidogo ila nisitumie sukari maana ndo sumu.
Nimeshindwa kuacha sukari. Wewe uliyeongezeka sababu ya mazoezi. Mimi kizee kungwi ninayepanda ngazi kumi nikakaa kwanza inakuwaje.
Washauri wa vyakula njoni huku mtusaidie. Mwenzangu hajasema umri mimi ni 64 she.
 
Push up nipige ngapi ili ziwe na matokeo chanya kama 30 ni ndogo ila jua mwili unachoka nikifanya mazoezi kwa mda mrefu nakuanza kutetemeka.
Unashindwa kutofaurisha mazoezi ya kugain muscles na kupunguza uzito,hayo ni mambo tofauti.

Push up haziondoi uzito bali zitakuomgezea muscles za upper body.

Kimbia,kunywa maji,badili muda wa chakula,usitarget kupoteza kilo nyingi kwa muda mfupi kwani hizo kilo haukuzipata kwa muda mfupi,it takes time.
 
Nikawa natumia nyama na samaki, mboga za majani na maharagwe, daar na njegere. Ndo sasa nipo 81.
Nani kasema samaki hanenepeshi ?
Nani kasema njegere hazinenepeshi ?

Kiufupi falsafa yangu ni kwamba hakuna chakula kibaya wala kizuri inategemea na mlaji mwenyewe.

Kula mara kwa mara ni moja ya propaganda za huu ulimwengu,miili yetu imaweza kuishi kwa kula mlo mmoja ama milo miwili tu kwa siku(milo mepesi)huku muda uliobakia ukinywa maji tu.
 
.
Kuwa na uzito uliopitiliza ni kukosa nidhamu ya kula. No excuses.
.
Wengi wanaotaka kupungua hawapati matokeo kwa sababu hawana nidhamu ya kutulia na diet plan moja kwa muda mrefu. Leo anafanya diet A, kesho karukia diet B, kabla hajaona matokeo kesharukia diet plan nyingine.
.
Choose one diet plan then STICK to it untill you see results...thank me later.
 
Piga intermittent fasting, itafute kwenye Google, mimi hupiga 18/6
Pia epuka chakuka cha usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…