Kilichofanya Tundu Lissu apigwe risasi hadharani hiki hapa

Hivi mkuu bilioni unaichukuliaje? Huu muda ulitumia kuandika Huu uongo ingekuwa vizuri ungetumia kusoma Bibble au Quran
 
Nyie CCM kumbe ndiyo washenzi na wapumbavu kiasi hiki..!!????

Yaani mnakusanyika mahali kufanya kikao cha kuuza na kununua watu kwa fedha za walipa kodi wa nchi hii..!???

Yaani badala ya kukusanyika na kufanya vikao vya kutatua kero za watu Kwa kutumia fedha hiyo nyie mnakusanyana ili kwenda kuzitapanya..???

Pumbavu na shenzi zenu kabisa. You are evils. You don't deserve to be human beings..!

Na nyie wengine tunaposema CCM na watu wake ndiyo chanzo cha ujinga na umasikini wa watu wa nchi hii muwe mnaelewa...!

Uthibitisho ni huu wa mjinga huyu anavyojifunua mwenyewe huku yeye akidhani kashusha nondo za kujadiliwa na WENYE akili..!
 
Wewe kwa akili yako kabisa unaamini alichokisema mtoa mada?
 
Hivi ulivyoandika huu upupu unafikiri kila mtu ni zuzu km wewe.
 
Wewe Hziyech22 umenisoma na kunielewa kweli?

Ningemwamini nisingemwita mpumbavu na mshenzi..??

Kumwita kwa sifa hizo maana yake ni kuwa alichoandika ni ujinga..!
Umeanddika kwenye comment yako juu kwamba " kumbe CCM ndio washenzi na wapumbavu kiasi hichi?" Ukaongezea
Ukasema "mnawezaje kukaa na kupanga kikao Cha kununua watu kwa fedha" kwa kauli hizi umeashilia kwamba umekubali kauli ya mtoa mada
 
Bwa mdogo acha bangi
 
Yaani billionaire mbowe ambaye ndo roho na mwili wa chadema thamani yake iwe billion 5 harafu lisu iwe 10?
 
Duuuh, hivi kweli unadiriki kutunga uongo hadi wewe mwenyewe unajisikia aibu ..hivi kweli hata nyie mnaowalipa hawa pimbi hamuangalii hata japo ubora wa story? Huyu msimpe 7000 kabisa...huu uongo uko chini ya kiwango kabisaaaaa....asilipwe
Mnawakataa mapandikizi ya CHADEMA mtandaoni.?


Deflecting
Deflection

....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…