FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Vikundi ndani ya CCM.Mkuu nimekuwa kwenye jamiforum muda kidogo so naelewa situation hizi sijawahi kuona mshabiki wa chama chochote anaweza kujitaja yeye ni chama fulani na akaja na story yakupondea upande wa hicho chama anashabikia, nia yake ya mtoa mada ili watu waamini story ni yeye amelazimika kujitaja ni sehemu ya hicho chama ili watu wamuamini jitahidi tofauti na yeye kujitambulisha ni chama gani anaona story yake ingekuwa ni ngumu watu kukubali
Kumbuka bado kuna vita ya vikundi ndani ya CCM.