Kilichofanya Tundu Lissu apigwe risasi hadharani hiki hapa

Mkuu tunajua maisha ni magumu sana, ila jitahidi hata utupatie mkate ili kusindikizia hii chai.
 
Watakupinga kama kawaida yao ila umeandika kweli tupu

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Weather hii story yako ni ya kweli au la, umekidhalilisha chama chako sana kuliko ulivyofikiri unawadhalilisha Chadema.

Kwa mtazamo wangu ulichofanya ni kusema CCM ni watoa rushwa kubwa kubwa na kusimamiwa na viongozi wakubwa wa chama. Lakini pia umetuambia serikali inashirikiana na chama kutoa rushwa kupitia idara ya Usalama na ukikataa unaweza uwawa.

Na wewe ni mmojawapo wa watoa rushwa hao.
 
Naona sasa hivi umeshakuwa tajiri baada ya kuachana na Azimio la Arusha na kuruhusu mabeberu kuja kujichotea rasilimali za nchi kiholela
Kwani azimio la Arusha liliwafukuza kina Williamson Diamond waliokuwa wakijichotea siku hizo?
 
Hizi ni "conspiracy theories" , Kuzikataaa au kuzikubali inategemea na upeo wako.
 
Binafsi natamani sana kufahamu:

1) Ni nini kilimsukuma jiwe kwenda kujibanza chato kwa miezi zaidi ya miwili?

2) Nini kilikuwa chanzo cha Makonda kupoteza ukaribu wake kwa jiwe?
 
Mkuu nimekuwa kwenye jamiforum muda kidogo so naelewa situation hizi sijawahi kuona mshabiki wa chama chochote anaweza kujitaja yeye ni chama fulani na akaja na story yakupondea upande wa hicho chama anashabikia, nia yake ya mtoa mada ili watu waamini story ni yeye amelazimika kujitaja ni sehemu ya hicho chama ili watu wamuamini jitahidi tofauti na yeye kujitambulisha ni chama gani anaona story yake ingekuwa ni ngumu watu kukubali
 
Binafsi natamani sana kufahamu:

1) Ni nini kilimsukuma jiwe kwenda kujibanza chato kwa miezi zaidi ya miwili?

2) Nini kilikuwa chanzo cha Makonda kupoteza ukaribu wake kwa jiwe?
Let's story Bibi angu maana unajua vingi maana u mkongwe
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Hio ya Mbowe ni noma,kala mzigo akatimkia Nairobi πŸ˜‚πŸ˜‚,watu wahuni
 
Mimi Niko tofauti kabisa ndio maana hata jina langu halisi sijawahi kulificha kama wengine.
 
Binafsi natamani sana kufahamu:

1) Ni nini kilimsukuma jiwe kwenda kujibanza chato kwa miezi zaidi ya miwili?

2) Nini kilikuwa chanzo cha Makonda kupoteza ukaribu wake kwa jiwe?
1. Jiwe aliogopa kivuli chake.
2. Makonda alikotofishana na Kitwanga nani alete Waganga Ikulu. Kitwanga akampiki Bashite
 
habari hii ni nzito tunesaidiwa ukapatikana, watu wa ciber wachunguze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…