Kilichofanya Tundu Lissu apigwe risasi hadharani hiki hapa

Vikundi ndani ya CCM.

Kumbuka bado kuna vita ya vikundi ndani ya CCM.
 
Kuna mwana wa adamu mmoja ataamini hiki ulichoandika, 😂😂😂😂.

Baada ya jiwe kuondoka tunaona uliowataja wameunga juhudi Kimya kimya, unaweza kutudokeza ni kiasi gani kimetumika kuwanunua???? Haswa Honey Badger

Au wamefika bei kwa budget ileile aloacha jiwe?
 
Umeanddika kwenye comment yako juu kwamba " kumbe CCM ndio washenzi na wapumbavu kiasi hichi?" Ukaongezea
Ukasema "mnawezaje kukaa na kupanga kikao Cha kununua watu kwa fedha" kwa kauli hizi umeashilia kwamba umekubali kauli ya mtoa mada
Mwenzio ametumia sarcasitic language. Hakumaanisha kukubaliana
 
Ccm nikiwakuta mbinguni narudi jehanam mwenyewe.
 
Swala la pesa tu nakubali.

Chadema Huwa hawazikatai.
Dah, yan unashangilia kodi zetu kutapanywa hovyo?!!! Ma ccm mna laana. Halafu si ajabu utakuta wewe ni mlalahoi na mamako yupo kijijini anatandikwa tozo hadi bukta ya ndani imetoboka hawez ibadilisha kwa ufukara uliomzunguka!!!
 
Dah, yan unashangilia kodi zetu kutapanywa hovyo?!!! Ma ccm mna laana. Halafu si ajabu utakuta wewe ni mlalahoi na mamako yupo kijijini anatandikwa tozo hadi bukta ya ndani imetoboka hawez ibadilisha kwa ufukara uliomzunguka!!!
Wewe mse.nge usiniletee matako Yako hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…