Kilichomkuta zuchu ndio tofauti ya wanyakyusa na makabila mengine

Hiii inglish imenyooka sana...
Hii sio ya shule ya kata...
 

Halafua angalia hao watu uliowaweka kundi Moja na wanyakyusa ambao wote mlipata elimu mapema,utagundua wamewaacha mbali,ukianza tu na makazi ya hao wahaya na wachaga mpaka vijijini kwao utagundua tu wamepiga hatua,ila njoo Sasa kwenye vijiji vya unyakyusani kuanzia vya rungwe,kyela mpaka busokelo,achana na makazi twende kwenye kumiliki biashara na taasisi za maana hao wenzenu mliopata nao elimu mapema wamewaacha mbali,ushawai kujiuliza sababu ni nini?
 
Naona huu uzi umevamiwa na vita ya ukabila....
Sio umevamiwa ila kiini Cha huu Uzi ni ukabila,mleta mada angetoa tu maoni yake bila kutaja makabila,eti ndio tofauti ya wanyakyusa na makabila mengine Kwaiyo nipo hapa kuhakikisha anatengua kauli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…