Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hili ni kweli kabisa.
Sio kweli kabisa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni kweli kabisa.
Visirani promax🤣🤣🤣Sio kweli kabisa...
We mshamba anzia hapohapo Mbeya halafu nenda mpaka kariakoo linganisha wabena wahehe na wanyakyusa,hatuna haja ya kutaja majina maana hatuna sifa kama nyie,rudi tena kuanzia kyela,rungwe mpaka hapo Mbeya then nyooka mpaka tunduma,ndio utajua nyie kiuchumi tunawaendesha,Hivi utakuwa unataja watu wenye pesa na kalinga unamtaja , basi na wewe tajili
Nilijichanganya kwao!kilichonikuta aiseh weka mbali na watoto!Kuna ka ukweli flani iv kwa wabena
Visirani promax🤣🤣🤣
Daah...mjomba wakati wa kuandika ulikuwa unaruka kichurachura?Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Aaah ni visirani balaa.Mnyaki na kisirani wapi na wapi mkwe...kwani wamekuwa wahehe?
Mnyaki ukimzingua, anakuzingua pia, ukileta zereu anakuzereu n.k
😁😁 Me nimeishi nao sana nikamatch nao fresh baada ya kuwasoma mapemaNilijichanganya kwao!kilichonikuta aiseh weka mbali na watoto!
Akomeamejichanganya hapo, huwezi changanya siasa na burudani hajui waliojitokeza ni wafuasi wa vyama vyote hata wale vijana wachadema waliochezea virungu walikuwepo unataka uawaambie mama mitano tena walielewe? machungu ya kijana aliyepotelea mikononi mwa watekaji na umauti ukamkuta hayajaisha lazima ukutane na hiyo kadhia
Hizi sio zama za kujibishana kwa maneno, ukileta ujinga unarushiwa chupa or mawe.Si umuache tu kama kampigia kampeni,we mpigie wako,akisema mitano tena we sema pipoooz
Hao wanyakyusa hawana hizo sifa unazosema..hao watu ni wana ukabila+roho mbaya+uchoyo+kiburi+wivu wa kijinga+dharau+unafiki
Na kupenda umwinyiHao wanyakyusa hawana hizo sifa unazosema..hao watu ni wana ukabila+roho mbaya+uchoyo+kiburi+wivu wa kijinga+dharau+unafiki
Kwanini mnawakataza ndugu zenu wa kiume kuunganisha damu Na wachagaWanyakyusa hatuna shida kabisa ni vile tu wewe unavyotuchukulia vibaya.Chunguza sana,matukio mengi ya mauaji Wanyakyusa hatumo kabisa....haya mnataka msikie Nini kingine....kama ni umalaya makabila yote kuko wazi chini....kiburi ni kwa Kila mtu...we kumbuka tu mpenzi aliyekushinda kwa kiburi chake je ni mnyakyusa? Tabia ni mtu mwenyewe
Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Wanyiha si wa Mbeya ni wa Mbozi, Wasafwa walikimbilia milimani kumbe walikuwa wajanja, huko milimani kilimo ni mwaka mzima kwani mazao yanastawi kwa mvua na umande.Wasafwa na Wanyiha nao si wa uko Mbeya?
Ilikuwa zamani, sikuhizi tunaoana tu mbonaKwanini mnawakataza ndugu zenu wa kiume kuunganisha damu Na wachaga
Acha ufala.Jombe ndiyo wapi huko?🤔Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Mmeshindwa kuifoa fisiem madarakani au kuandamana unabwabwaja tu hapaMimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike