Ukiacha habari za unyakyusa. WCB Wanazingua kuchanganya biashara yao na CCM.
Hatukatai, boss anaweza kua na chama chake pendwa, lkn watu wamelipia kuja kuona burudani tena wa Vyama vyote, Ww unafika jukwaani unaanza mitano tena, sijui mama, sijui tulia wtf iz wrong with you!
Mbona wakiitwa kwenye matamasha ya Tulia, wana hudhuria na kupewa support full. Hawajiulizi kwann kwenye hili?
Mbaya zaidi mtoto wa kike akapanic na kuleta kiburi zaidi kutaka kubishana na alike kitu ambacho ni usenge, bale ilitakiwa asome upepo na abadirike kuufuata hata kwa kusema chadema oyeee ya kinafki angesepa na kile kijiji
Hii trick ya pili JPM mwenyewe aliitumia, siku walimzuia barabarani na kumlazimisha kusema peoples....., akagoma goma lkn mwishoe alisema peoples.... cloud yote ikatulia na kumsikiliza na kumruhusu apite