Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Wanahabari hasa nguli kama P wanapokea tips ili ziweze kuenea kwa jamii kwa kupima kiwango cha joto au kufubaza joto lililopo

Anaweza asiwe TISS lakini akatumiwa na tiss bila yeye kujua but all in all hata wewe ukiwa mchambuzi mahiri wa habari na mwenye uzoefu wa ndani na nje lazima uwe na ushawishi kwa jamii na huo ushawishi utengeneza marafiki wengi wa kuaminika na wasio wa kuaminika lakin daima unapaswa kuangalia maslahi yanayopalilia kazi yako hivyo P anafanya kazi ya habari hapa JF kwa kuwa magazeti yako limited na hana nafasi news room hapa bongo
 
😂😂😂😂
Namheshimu Mayalla, lakini amekwisha 'tabiri' majina mengimengi ya 2025, akiwemo Mbalawa, Makonda, Makamba N.K.

Yeyote kati ya hawa akiwa basi uzi mahususi utafukuliwa na utabiri utakua umetimia.

Ngoja namimi nikupe utabiri, chaguo la Magufuli (yeyote yule atakayekua) litaangupia pua 2025 iwe isiwe.
 


paschal Mayalla njoo hapa tukusikie wewe mwenyewe.
 
Use of HUMINT. Their primary component.

-Kaveli-
 
Makonda mbona anatosha!kama hatoshi kwako anatosha kwa wale anaowatosheleza!!
Nani kakuuliza kama anatosha? Mzee unaanzisha uzi na kujijibu mwenyewe, una hasira nao au
 
Rekebisha kidogo miaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…