Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Mkuu wapo manjagu ila mda mwingi wamevaa kiraia wanapiga round.Na mle ndani vichakani kwenye njia ya mto msimbazi mpaka kule nyuma kwa marehemu mzee mengi na ubalozi wa kenya,kwenye njia yote ya mto msimbazi na lile tawi la kutokea muhimbili kumejaa matope kama sio kibaka mzoefu huwezi kukimbilia kule,utazama na kufa.Vibaka wastaafu ukikaa nao wanakupa details zote pale kwenye kituo cha daladala cha kinondoni makaburini.Okay napitaga sana hapo makaburini... Zaman wakati bwana mkubwa yupo pale sarenda hata saivi kuna manjagu....
Kipo karibu na shule ya Agakhan Primary na lile kanisa kubwa la kilokole jina nimesahau kidogo.Sikuwahi jua hili, means kipo karibu na Jangwani Girls Sec?
Unaenda ku double 😂😂😂😂 naogopa sana mambo ya ♠️♦️♣️♥️Nishafika mama🤣🤣🤣Ni hapa las vegas casino zamani palikua panaitwa jolly,s club
Hapana mkuu,kuna mshua kaniita tunaenda kuyajenga.Sikukuu zimeisha tunaendelea kupambania kombeUnaenda ku double 😂😂😂😂 naogopa sana mambo ya ♠️♦️♣️♥️
Ndoto sio kweli Ila zipo za kweliSwali:
Ni nini kilikutokea?
Tena vipo viwili, Upanga(postgraduate) na Tegeta(undergraduate)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Yes, ni branch. ..Kheeeh kumbe, ndo Kwanzaa nasikia hapa.
Ni maeneo ya Don Bosco ...Mmmh hapana kuna kaumbali flani kutoka hapo jangwani ila sio mbali sana unatembea tu,ila pale fire kituoni kuna njia ya mkato fupi zaidi.Sijapita pale mda mrefu
Yes...Kipo mkuu hapo upanga.Hv ndio hapo yule mbabe wa tambaza alipomuua konda???
Wana tawi Dar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Kipo muda mrefu sana wana toa masters[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Yeah wana campus yao upanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Inathibitisha pasi na shaka kuwa hii ni chai ya motoSamaki gani wa kununua usiku
Kipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Degree zoteKumbe wanatoa Masters tyuuh??
Mkuu ni tukio la siku nyingi au la hivi karibuni.Nakumbuka nikitokea maeneo ya Slipway baada ya boss wangu kunipa laki moja nikatafute samaki,
Nikaenda msasani nikakosa hivo nikaona niende feri, nikapanda gari la kwenda Kariakoo tulipokaribia Salender nikamwomba konda anishushe hapo, konda kwa mshtuko, unasema?
Nikamwambia tena nishushe Sarenda muda huo ni saa 4 usiku basi bhana kama unavojua kuna watu hawapendi fuatilia mambo ya watu gari ikasimama nikashuka
Mbele yangu kulikuwa na gari moja ndogo imesimama halafu but I la mbele limenyanyuliwa nahisi ilipata hitilafu, nyuma kulikuwa na trafiki anaelekeza magari ile njia ya kwenda Coco beach, njia ya kutokea Coco nikaona vijana kama sita hivi muda huo wote yaani ni kama dk 10 zimepita toka nishuke ila kila gari ninalolisimamisha la kwenda Posta kutoka Makumbusho hayasimami yaana yanapita na mia
Sasa wale jamaa walikuwa na vifaa vikubwa balaa nikafikiri ni wanamazoezi, nikafikiri kujiunga nao ili nivuke pale darajani
Bado nawaza haijaisha sekunde kumi naona wameanzisha timbwili kwenye gari lile lililokuwa limepaki hapo mbele, kulikuwa na vijana wawili, kama sio waarabu basi ni wahindi, mara jamaa wakafungua milango muda huo hawa jamaa wenye gari wamekimbia mmoja anaelekea kwa askari anayeongoza magari hapo njia ya Coco beach mwingine anakimbia huko upande wa Pili wa barabara
Sikumbuki nini kilitokea ila nilijikuta ile njia ya Muhimbili nipo kwenye kituo karibu na chuo sijui ndo Mzumbe nasubiri gari ya kutoka Kariakoo nirudi Masaki
Main Campus[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh