Kilichonitokea kituo cha Daraja la Salenda baada ya kushuka kwenye daladala saa nne usiku

Okay napitaga sana hapo makaburini... Zaman wakati bwana mkubwa yupo pale sarenda hata saivi kuna manjagu....
Mkuu wapo manjagu ila mda mwingi wamevaa kiraia wanapiga round.Na mle ndani vichakani kwenye njia ya mto msimbazi mpaka kule nyuma kwa marehemu mzee mengi na ubalozi wa kenya,kwenye njia yote ya mto msimbazi na lile tawi la kutokea muhimbili kumejaa matope kama sio kibaka mzoefu huwezi kukimbilia kule,utazama na kufa.Vibaka wastaafu ukikaa nao wanakupa details zote pale kwenye kituo cha daladala cha kinondoni makaburini.
 
Ndiyo maana konda alikushangaa hicho si kituo cha kushuka giza likiingiaa tu wachilia mbali saa nne usiku
 
Mkuu ni tukio la siku nyingi au la hivi karibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…