Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Ni mume mzazi babu kaka shemeji nk huwezi ukawa unazungusha mtu mortuary uewanja mtu akitolewa mortuary anaenda kuzikwa ujinga huo ukomeshwe
 
Ki ukweli si ubinamwana-adamu
 
Duh! Yule mtu wa jiwe yule akishasema amesema: "siku tatu hapa uwanjani kila mtu amuage", hakuna wa kuhoji. Huo ndio ubaya wa udikteta watakutii tu hata ukisema tujenge barabara za mbao.
 
Najaribu kukumbuka mwili wa Nyerere ulikaa uwanjani siku tatu bila kupelekwa popote, hiyo ni 1999, mwaka 2020 kila kitu kimeadvance lkn mwili unakimbizwa huku na kule, maybe aliacha wosia asije kulazwa hapo uwanjani, tusemeje sasa
 
Mkuu,

umeshindwa kunote a very simple logic.

He wasn't a normal person.
 
Mimi kwasababu sijui kama mtu akifa roho yake inaona mwili unavyotendwa huku sina maamuzi, ila kudadeki kama nikifa mwili halafu roho inaona kila kinachotendwa atakayefanya tukio baya kwa mwili wangu atanitambua, namzaba vibao mbele za watu
😂😂😂
 
Ila walimvalisha lile shela jeusi na sura ile ya uzee na majonzi aliyokuwa nayo usoni dah, ngoja nisiseme alivyokuwa anaonekana
Ningekuwa familia hiyo mama angevaa white gown na vail kama bibi harusi japo nguo iwe ndefu tu ya kawaida. Ni harusi ya mwisho kwa mumewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…