Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, Mh mjumbe wa kigamboni bana ,unataka ujue ile kesi iliishia wapi?Tupe mrejesho kuhusu kiyashtaki makampuni ya simu kabla ya kurukia misiba ya watu....
Imani yako inakuambia marehemu huwa anateseka?Tatizo imani yake ndoo imemoonza mpaka akafanyiwa yote hayo,mm huwa nasema basi kama watu mnampenda zaidi mfufueni basi, Unafikiri Mwinyi atafanyiwa hivyo ?
NdiyoMarehemu anateseka [emoji1][emoji1]
Kama hataseki kwanini anazikwa asitupwe?Marehemu anatesekaje wewe kiumbe? yeye ameshatangulia mbele ya haki mwili hurudi udongoni wewe acheni imani za kiimla!
Kuzikwa ni kwa sababu ya heshima/uoga/utu wa sisi tuliyobakiKama hataseki kwanini anazikwa asitupwe?
Kabla ya kujibu kwa hisia za udini ulimsoma vema wakili?Yani wakili hakumbuki jinsi nyerere alivyoagwa? Nawasikitikia wqnaokupa kesi zao. KW vile jina lako lina majibu yote ni hki uko kusema hivyo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Maandiko gani yanakataza kumzungusha Marehemu? Mimi kama screpa ningependa mnizungushe hata mwezi
... sijui umri wake lakini anaweza kuwa alikuwa na miaka 10 kiumri Chief au alikuwa nje ya nchi majukumu mengi au kalazwa hospital kufuatilia shida. A lot of possibilities.Yani wakili hakumbuki jinsi nyerere alivyoagwa? Nawasikitikia wqnaokupa kesi zao. KW vile jina lako lina majibu yote ni hki uko kusema hivyo
Dah umenifanya nicheke tuMaandiko gani yanakataza kumzungusha Marehemu? Mimi kama screpa ningependa mnizungushe hata mwezi
Makosa mawili hayafanyi kuwa ndio sahihi.... sijui umri wake lakini anaweza kuwa alikuwa na miaka 10 kiumri Chief au alikuwa nje ya nchi majukumu mengi au kalazwa hospital kufuatilia shida. A lot of possibilities.
Walikuwa wanaogopa asiibiweKweli kabisa mkuu. Ilitakiwa usitolewe uwanjani ukae hapo hapo kwa siku tatu mfululizo. Swala la kuuleta kila asubuhi na kuurudisha jioni sio jambo zuri hata kidogo.
Muoga wa kwenda kaburini wewe,Maandiko gani yanakataza kumzungusha Marehemu? Mimi kama screpa ningependa mnizungushe hata mwezi
Hii ndio muhimuPia tuna-buy time ili kule kijijini mazingira ya nyumba yarekebishwe faster.
Roho ikishatoka, nafsi haipo tena. Kwa hiyo sentensi ya kumtesa marehemu haina mantiki hapa. Kisicho hai hakiteswiNi kumtesa marehemu