Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kapoteza 40k tuu hata wewe ungewezaKwahiyo umepoteza sh ngapi🤣🤣🤣
How unashindana na mtu humjui? Ulikumbuka kuchukua namba ya yule dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapoteza 40k tuu hata wewe ungewezaKwahiyo umepoteza sh ngapi🤣🤣🤣
How unashindana na mtu humjui? Ulikumbuka kuchukua namba ya yule dada
Sijui kwa nini kila nikiona mwandiko wako moyo wangu unatulia. Unayo nafasi moyoni mwangu. Uwe na siku njemaUongo bila aibu.
Ndiyo tutegemee maendeleo kwa alinacha hizo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] you made itUkiishiwa ndoto nyingi huwa hivi
Unajua lakini kama FaizaFoxy ni bibi yetu humu?Sijui kwa nini kila nikiona mwandiko wako moyo wangu unatulia. Unayo nafasi moyoni mwangu. Uwe na siku njema
Wewe humpendi bibi yako? Hufurahi kumaikia bibi au kuona nasaha zake kwa sababu ni bibi? FaizaFoxy alipopotea kwa muda kwa kweli niliona kuna kitu kikubwa kimepotea humu.Unajua lakini kama FaizaFoxy ni bibi yetu humu?
Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!!
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!!
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo.., nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, mother fucker, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!
Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!!
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!!
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo.., nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, mother fucker, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!
AlhamduliLlah.Sijui kwa nini kila nikiona mwandiko wako moyo wangu unatulia. Unayo nafasi moyoni mwangu. Uwe na siku njema
Siku hizi ndio una hadithi hizi?Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!!
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!!!
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo.., nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, mother fucker, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!
8 figures Kwa makadirio ya kiasi cha chini kabisa, Simbanking ya jamaa inasoma zaidi ya dola milioni 10, zaidi ya bilioni 23 pesa za madafu au sio.Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo.., nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, mother fucker, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!