Kilichotokea usiku huu kimenisikitisha sana, life is not fair

Hivi si unaishi Dar wewe, ungemwambia tu akuoe uwe accountant wake.
 
Nikadhani billionaire Lugano amekuja na ID Ingine πŸ˜ƒπŸ˜Š
Ila billionaire Lugano yeye hajawai KUSHINDWA πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
All in all,
Nikiwa hai sitowai.. sijawai kua na akili za majivuno na fakes nyingii πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚

Mkuu,
Nikupe pole na maswaibu yaliyo kukuta...
 
Nimecheka sanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†!
Kwani mkuu una umri gani wewe?
 
Bora uliondoka kama alianza kukumwagia noti huyo alipanga kuondoka na wewe.

Ila nimekutumia CV yangu bro
Ebana eeeh! Aondoke na yeye tena🀣🀣🀣🀣.
 
Wtf? πŸ˜‚ Hakikisha unakula Io pisi
 
Hauko pekeyako kuna Billionaire Lugano humu, ila yeye hawatandiki nazo anazitoa kwa heshima tu.
 
alipotoa elfu 50 ilibidi uufyate ona sasa umeumbuka
 
Ndio mkiambiwa pombe sio chai muwe mnaelewa. Ulikuwa na sababu gani kutunisha misuli na stranger?
 
Ndio mkiambiwa pombe sio chai muwe mnaelewa. Ulikuwa na sababu gani kutunisha misuli na stranger?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ufahari usio na sababu, huenda hata mke hajapewa hizo kwa kisingizio kila kitu kipo ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…