Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Msakaa Jr hawa watu wengine hudhani kulima ni rahisi, ukifuata mambo anayoyasema unaugua maana utapigika kisawasawa.
.
Huyu mimi nikimchukua nimpeleke shambani ananifia au atalala shamba kabisa maana atakuwa anapiga jembe alafu haoni mwisho
Hahahha!...hahahaha!....! Nakosa la kukuambia! Uwe na siku njema mkulima wa mwendokasi